Huwezi kufungwa mara 4 mfululizo kwa bahati mbaya, siku mkiukubali ubora wa yanga na kuwaheshimu mtafanikiwa kupata matokeo!

Huwezi kufungwa mara 4 mfululizo kwa bahati mbaya, siku mkiukubali ubora wa yanga na kuwaheshimu mtafanikiwa kupata matokeo!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Napenda kuwaeleza Hawa mashabiki na wanachama oya oya wa Simba pamoja na viongozi wao kwamba daraja aliloweka yanga kwa sasa na wao bado awajalifikia, bado yanga Wana ubora mkubwa ukilinganisha na Simba!

Ukiangalia ubora wa mchezaji Mmoja Mmoja pamoja na uzoefu kwa vikosi vyote viwili utagundua kwamba Simba bado kikosi chao kina wachezaji wasio na uzoefu wa kutosha kulinganisha na yanga!

Kimbinu na kiufundi kocha gamond ana uwezo wa kufanya chochote anachotaka kulingana na kikosi alichonacho kutegemea na mpinzani anayecheza nae tofauti na Simba ambao kikosi kinachoanza ikifanyika sub tu wanapoteana!

Mpira siku zote ni sayansi na sio ushirikina, ukiwa na kikosi Bora utapata matokeo na sio kutegemea nguvu za waganga wa kienyeji ndio wakupe matokeo!

Simba wanatakiwa wakubali kwamba yanga kawazidi ubora kwa sasa ivyo wawaheshimu na watafute njia Bora za kuwafikia pale walipo na sio kutafuta visingizio vya ovyo Kila siku wanapotandikwa!

Utafungaje goli wakati safu yako ya ushambuliaji ni butu? Mpira utaingiaje golini kwa stahili iyo?

Mnamtegemea atteba ambaye alikuwa mzururaji mzuri uwanjani, chance Moja aliyopata ya 1v1 na diarra ndio pekee akawekwa korokoroni na afande bacca!

Msipokubali ubora wa yanga mtaendelea kufungwa mpaka akili ziwakae sawa!

PIA SOMA
- FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
 
Hapana mkuu shida inakuja hata yanga iwe mbovu vipi lakini akikutana na simba anakaza inakuwa tofauti na simba ikiwa mbovu inakuwa tofauti kuna hujma kubwa sana simba.
 
Makosa ya marefa yanga wananufaika nayo mechi zote nne usijifanye unajua Mpira ndondocha wewe
Makosa ya marefa Kila mechi acha ujuaji wa kijinga, ukubali umezidiwa ubora tatizo lenu mbumbumbu mnashupaza shingo zitaendelea kuvunjika kama mangungu anaendelea kuwashikia akili shauri yenu!
 
Hapana mkuu shida inakuja hata yanga iwe mbovu vipi lakini akikutana na simba anakaza inakuwa tofauti na simba ikiwa mbovu inakuwa tofauti kuna hujma kubwa sana simba.
Kama ni hujuma basi mnahujumiwa kuanzia kwa bossi wenu Mo mpaka chini, kwa maana sijawai kuona Wala kusikia derby ikitoa matokeo ya kufungwa mechi 4 mfululizo, ata yanga Ile ya bakuli aikuwai kufungwa na Simba mechi 4 mfululizo, myatazame mapungufu yenu kuanzia kwenye ubora wa wachezaji wenu vinginevyo mtaendelea kupasuka Kila mechi!
 
Mimi niko tofauti sana na nyie mnaokataa kwamba yanga hawafanyi ushirikina ,kwasababu ,nyinyi mnaokataa kwamba kwenye mpira hamna ushirikina basi nyinyi ndo wachawi wenyewe


Kama hamwamini ushirkina kwenye mpira ,hapa Tanzania kila kona ukipita hukosi vibanko vya waganga wa kienyeji sasa najiuliza kwamba kama uchawi haupo je waganga wanatibu nini

Nyinyi mnaendelea kufubaza kwamba tusiamini kwamba uchawi upo
 
Kuna comment ya shabiki kaandika Simba inapiga hatua huku Yanga ikibaki bila kupiga hatua, aiseeeh nimeshangaa yani mtu kachukua point 3 bado unaona upo nae sawa tena umezidi kwamba wewe unaimarika zaidi[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom