Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui