Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #41
Sio rahisi mkuu. Mbona tumekwambia kama hujasomea hesabu za integration huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani.Hivi Ronaldo kasoma shule ya digrii ?
Kwa uwekezaji wake haiwezi tokea akaja ajawa tajiri kipitia mtaji aliojikusanyia kwa miguu, kifua na kichwa
Miguu inaweza kuleta utajiri.
Nadhani Jordan ni bilionea .
Mkuu hujaroga hata kidogoJambo kubwa katika mafanikio ni uwezo wa ndani wa mtu alionao na kuamuwa kufanya jambo lake. Ndiyo maana unaona waliofanikiwa bila kuwa na elimu hufanya juu chini watoto wao wasome ili waje kusimamia mitaji. Hivyo bila elimu huwezi kuwa na biashara endelevu. Nilijua nitafanikiwa tu maishani mwangu, ila ilibidi nisome sana ili niwe na maarifa katika biashara ninayofanya sasa. Hivyo taaluma ina nguvu kubwa sana katika biashara. Biashara inahitaji mikakati mingi. Ndiyo maana kila nafasi hapa duniani inasimamiwa na wasomi katika taaluma husika. Bila elimu hakuna maendeleo endelevu.
Toa elimu weka maarifa.Kuna mambo mengi yanayopelekea kuwa tajiri, ila kweli elimu ni mojawapo
Tuchukulie bongo. Bakhresa hajui intergration na aliwahi kuwa no1.Sio rahisi mkuu. Mbona tumekwambia kama hujasomea hesabu za integration huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani.
Tumekwambia tajiri namba moja duniani. Huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani kwa kuuza vyakula boss.Tuchukulie bongo. Bakhresa hajui intergration na aliwahi kuwa no1.
Waliosoma hesabu TZ ni maelfu ila hawamiliki bilions kasoro za kukwapua kwa wananchi. Pamoja na kuwaibia wananchi gawawi matajiri wa kutisha. Hio fomula inafanya kazi ulaya tu au hata kwetu.
Mahesabu ya quantum physics yanakusaidia nini Tanzania ? Wakati kuna mkinga anamiliki super feo kaishia darasa la 7 hajui hata set tu.
Tueleze vizuri mkuu.
Kwanza aanze kuwa tajiri namba moja tandale. Kuna watu vichas sana, tatizo masikini akipata kidogo anaona kama wengine hawana ndio kinachomsumbua yule dogoHuu ni ukweli tu ulio wazi.
Dunia itabaki kutawaliwa na wasomi mpaka Yesu anarudi.
Huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani bila kusoma shule.
Katika dunia ya sasa usitegemee kuwa Tajiri namba moja duniani bila kujua hesabu.
Ukijua hesabu na kuzitumia kama zinavyotaka unaweza kuwa mbali na hapo sahau.
NIMEFUNGA UZI
Meneja Wa Makampuni
MuongoHuu ni ukweli tu ulio wazi.
Dunia itabaki kutawaliwa na wasomi mpaka Yesu anarudi.
Huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani bila kusoma shule.
Katika dunia ya sasa usitegemee kuwa Tajiri namba moja duniani bila kujua hesabu.
Ukijua hesabu na kuzitumia kama zinavyotaka unaweza kuwa mbali na hapo sahau.
NIMEFUNGA UZI
Meneja Wa Makampuni
Maarifa hutokana na elimu. Huwezi kuwa na maarifa bila kuelimika. Na elimu ni pana mno, siyo ile ya darasani pekeeToa elimu weka maarifa.
Ulishawahi kuwa tajiri?Bakhressa kasoma?? Sio tajiri namba moja duniani ila hana elimu.
Kuna level ya pesa ikifikia inakuwa sio jitihada ama elimu yako inayokuongezea pesa. Bali ni aina ya watu unaoajiri kusimamia pesa zako.
Wewe ushawahi?Ulishawahi kuwa tajiri?
Mbona nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu?Huu ni wivu tu kwakua wewe ni masikini
kama ana akili ameelewa. Doto magari anaweza kuwa na maisha mazuri kupita hata watu wenye masters nchiniShule zina waathiri sana nyie vijana wetu. Mnapenda sana mashindano ya hizo NAMBA MOJA. Why everything number 1, everything u guys do u compete for number 1. Why???
Mfumo wa elimu ya kushindana shindana kushika namba 1 ndio inawapa depression kubwa watoto wakija mtaanj baada ya kumaliza shule. No wonder kuna mtu humu juzi kaja na uzi analia lia kwann madaktari wafanyishwe interview wakat most of them were Number 1's huko walikotoka πππ.
Badilisheni hii mindset.