Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

Alifanya makosa mengi lakini kubwa kuliko kitendo cha kuwatimua wazungu mapema kabisa baada ya uhuru wakati hatukuwa na watu wenye uelewa kuhusu viwanda alichemka sana. Tukabaki na kilimo chetu na mazao yetu hatuna pa kuyapeleka.
 
Lete hoja ubovu wake ulikuwa wap na sisi tukupe hoja ya ubora wake
Swala Muungano alikosea vibaya Taifa Bora na tajiri watu million 60 kujiunga na watu Million 2 maskini ni aibu kubwa
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.

Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.

Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.

Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.

Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.

Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Lete hoja ubovu wake ulikuwa wap na sisi tukupe hoja ya ubora wake
Baadhi ya mabaya au ubovu wa Mwl. Nyerere:-
1. Kuiga, Kuanzisha na kuendeleza Sera na Itikadi Mbaya kabisa ya Siasa za Ukomunisti/Ujamaa hapa Tanzania.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa Kujenga Msingi mbovu wa Taifa la hovyo kabisa lililopo hivi sasa.
Itikadi na Sera ya Ukomunisti/Ujamaa ikaja kushindwa vibaya Sana huku yeye mwenyewe akishuhudia kwa macho yake kushindwa kwa itikadi yake aliyoileta hapa Tanzania kutoka kwa marafiki zake wa China, Urusi na Cuba.

2. Kutengeneza Taifa la Watu waoga, Wanyonge, dhaifu wa fikra wasiojitambua na Wala wasioweza kuhoji. Taifa la watu 'misukule'.

3. Kutengeneza au kuunda nchi isiyokuwa na Mipango-miji, hususani kupitia kwenye Sera yake mbaya kabisa ya ujamaa/Ukomunisti. Sera au Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti ndio ilikuwa chanzo Cha Kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, the Worse Operation that completely destroyed the Country and Town Planning process within the Country.
Arusha Declaration and Operation Vijiji also led to the Death of Real Estate Industry and its development.

Kupitia Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti, Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, Watu wengi sana walinyang'anywa Ardhi zao pamoja na majumba yao waliyokuwa wakimiliki. Nyumba nyingi sana za Watu zilitaifishwa, Leo hii nyumba hizo zinamilikiwa na Shirika la Nyumba (NHC).

4. Kutuletea Katiba ya nchi ambayo ni mbaya kabisa, isiyofaa na ambayo imesababisha na inaendelea kusababisha madhara makubwa sana kwa Raia. Katiba mbaya ambayo imewatengeneza Watawala wa nchi hii kuwa 'Miungu Watu.'
 
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.

Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.

Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.

Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.

Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.

Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Wanaofikiria kumpa utakatifu wana vigezo na sababu zao binafsi.

Tanzania ni moja na inaongea lugha ya kiswahili. Huwezi ukaenda sehemu ya nchi hii usikute watu wanaozungumza kiswahili, Mwalimu alileta umoja wa kitaifa.

Nigeria wamejaa ukabila na udini. Cameroon wana misuguano mingi ya ndani. Mataifa mengi ya afrika yamejaa fitina na kuoneana. Majirani zetu tu hapo Kenya kila siku vijana wadogo wanauliwa kwa sababu ya siasa.

Yupi aliyetengeneza misukule kati ya Tanzania na Kenya ambayo vijana wadogo wanasababisha baraza zima la mawaziri livunjwe?.

Nyota ya Mwalimu Nyerere bado inawaka miaka 25 tangu aage dunia.
 
Wanaofikiria kumpa utakatifu wana vigezo na sababu zao binafsi.

Tanzania ni moja na inaongea lugha ya kiswahili. Huwezi ukaenda sehemu ya nchi hii usikute watu wanaozungumza kiswahili, Mwalimu alileta umoja wa kitaifa.

Nigeria wamejaa ukabila na udini. Cameroon wana misuguano mingi ya ndani. Mataifa mengi ya afrika yamejaa fitina na kuoneana. Majirani zetu tu hapo Kenya kila siku vijana wadogo wanauliwa kwa sababu ya siasa.

Yupi aliyetengeneza misukule kati ya Tanzania na Kenya ambayo vijana wadogo wanasababisha baraza zima la mawaziri livunjwe?.

Nyota ya Mwalimu Nyerere bado inawaka miaka 25 tangu aage dunia.
Hakuna umoja wala nini

NI UOGA TU tumejazwa na huyo mwalimu
Vizazi na vizazi leo bado vinarithi uwoga na khofu
Na hii si afya kwa maendeleo
 
Amini kabisa pamoja na ukubwa wako, the so called mwalimu hajafanya lolote zaidi ya udikteta tu
Na kujaza watu uoga
Hakuwa na nguvu ya wasomi wengi kama waliopo miaka ya sasa, hili ndilo mnaloshindwa kulifikiria kwa kina.

Miaka ya 60 mwanzoni mwenye diploma aliheshimiwa na kuitwa maofisini miaka ya 2020 mwenye shahada ya pili anakosa kazi, nadhani kama ukiwa ni mkubwa kiumri utaelewa ugumu wa kuongoza nchi wakati wa awamu ya kwanza.
 
Pamoja na mazuri yake mengi sana kwa Taifa lakini hakuna jambo alichemka kama kueneza sera za kishamba na kinafiki kama ujamaa. Tupo hapa tulipo kwasababu ya sera zake za ujamaa
Tupo hapa sababu ya sera zake? Huo ni uongo mkubwa na hutumiwa na watu waliokata tamaa ya kusonga mbele, na ndio hutafuta wa kumuanvushia lawama

Nyerere kaondoka madarakani miaka 40 iliyopita. Kama hii miaka haitoshi kutoka hapo unaposema basi tatizo sio nyerere

Lakini zipo nchi zilikua na ujamaa na bado zikapiga hatua kubwa tu na hatufanani nazo hata kidogo. Pia zipo nchi hazikua na ujamaa tena nchi nyingi tu huku Africa, lakini nazo hazina maendeleo yoyote, je nazo tuseme sababu ni nini? Tutafute sababu ya kweli
 
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.

Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.

Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.

Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.

Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.

Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
hakuna haja ya USHAWISHI awowote,

ila itoshe tu kusema na kufahamu kwamba, ni muhimu sana kufahamu ya kuwa kila zama hasa za utawala na kitabu chake 🐒
 
Alifanya makosa mengi lakini kubwa kuliko kitendo cha kuwatimua wazungu mapema kabisa baada ya uhuru wakati hatukuwa na watu wenye uelewa kuhusu viwanda alichemka sana. Tukabaki na kilimo chetu na mazao yetu hatuna pa kuyapeleka.
Hizi narratives huwa sizikubali. Sababu zipo nchi zilichelewa kutimua hao so called wazungu lakini bado zipo hovyo hadi leo, na zipo nchi ambazo ziliwahi kuwatimu na zipo vizuri. Unajua nahisi bado hatujajua tatizo letu ni Nini na linaondoka vipi

Leo kila kitu kipo wazi hao wazungu tunashirikiano nao kila sehemu na karibu kila wanachotaka kwetu tunawapa, kwa nini hatuendi hiyo mbele mnayosema? Bado sababu iwe kuwatimua wazungu mapema? Huu utakua ni uongo mkubwa
 
Hakuwa na nguvu ya wasomi wengi kama waliopo miaka ya sasa, hili ndilo mnaloshindwa kulifikiria kwa kina.

Miaka ya 60 mwanzoni mwenye diploma aliheshimiwa na kuitwa maofisini miaka ya 2020 mwenye shahada ya pili anakosa kazi, nadhani kama ukiwa ni mkubwa kiumri utaelewa ugumu wa kuongoza nchi wakati wa awamu ya kwanza.
Huna lolote nyie mlikua misukule wa Nyerere sababu mlikua hamna akili ni makubwa jinga
 
Ametuingiza kwenye muungano wa ovyo,nchi na wananchi tumekuwa na maisha duni kwa kuendekeza uswahiba kwa kuwapigania marafiki zake kina Obote,Mugabe na wengineo huko kusini mwa Afrika ili washike madaraka kwa visingizio mbalimbali, rasilimali zetu nyingi zimetumika bila manufaa yoyote!
 
Mataifa haya yaliyokuwa makoloni ya watu weupe katikati yake anatokea mtu aliyesoma elimu zao na kuamua kutafuta njia za "balance" ili kusimika taifa lenye amani na utulivu na kinyume kabisa na wafuatao:
-Nigeria
-DRC
-Sudan
-Libya
-Afrika ya kusini
-Somalia
-Angola
-Msumbiji
-Kenya
-Uganda

Eti mtu huyo anaonekana hafai [emoji44][emoji44][emoji44]

Basi anayefaa na kuwa bora ni kiongozi MALAIKA...

Mtoa hoja amuombe Mwenyezi Mungu atushushie KIONGOZI NA RAIS MALAIKA.......

#Kwangu El Commandante mwalimu Nyerere atabaki ni baba wa taifa bora kuliko wa nchi zote nilizoziorodhesha hapo juu [emoji441][emoji450][emoji449][emoji7][emoji7]

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huna lolote nyie mlikua misukule wa Nyerere sababu mlikua hamna akili ni makubwa jinga
Ametuingiza kwenye muungano wa ovyo,nchi na wananchi tumekuwa na maisha duni kwa kuendekeza uswahiba kwa kuwapigania marafiki zake kina Obote,Mugabe na wengineo huko kusini mwa Afrika ili washike madaraka kwa visingizio mbalimbali, rasilimali zetu nyingi zimetumika bila manufaa yoyote!
True and Fact!
 
Tupo hapa sababu ya sera zake? Huo ni uongo mkubwa na hutumiwa na watu waliokata tamaa ya kusonga mbele, na ndio hutafuta wa kumuanvushia lawama

Nyerere kaondoka madarakani miaka 40 iliyopita. Kama hii miaka haitoshi kutoka hapo unaposema basi tatizo sio nyerere

Lakini zipo nchi zilikua na ujamaa na bado zikapiga hatua kubwa tu na hatufanani nazo hata kidogo. Pia zipo nchi hazikua na ujamaa tena nchi nyingi tu huku Africa, lakini nazo hazina maendeleo yoyote, je nazo tuseme sababu ni nini? Tutafute sababu ya kweli
Tatizo ni sisi wenyewe tumejawa na hulka mbovu za ubinafsi, ufisadi kila taasisi.

Nyerere ni aibu hata kumzungumzia wakati huu ripoti ya CAG ikituumbua, ni madudu matupu yanafanyika kila mahali.
 
Back
Top Bottom