mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tutampa heshima yake kwa kupigania uhuru.
Ila kwenye UJAMAA ALIFELI PAKUBWA.
Ila kwenye UJAMAA ALIFELI PAKUBWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa kwa sababu hukuwepo Enzi za Utawala wake !!View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.
Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.
Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius Taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.
Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.
Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.
Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Mkuu niseme tu "unaisumbua sana akili yangu." Tuache hayo ya Nyerere, kamwe sioni ni wapi ninapoweza kutofautiana na wewe kufuatana na maneno uliyo andika hapa!Tatizo ni sisi wenyewe tumejawa na hulka mbovu za ubinafsi, ufisadi kila taasisi.
Nyerere ni aibu hata kumzungumzia wakati huu ripoti ya CAG ikituumbua, ni madudu matupu yanafanyika kila mahali.
Ajabu ni kwamba leo ninakusikiliza/ninakusoma na bado sielewi vizuri!Mtoto mdogo wewe ndio maana huwezi kuelewa kazi aliyoifanya Mwalimu hapa TZ.
nyerere halufeli kwenye muungano kwasababu nyinyi ni mazwazwa ndio maana mnafikiri hivyo!, nyinyi ndo mmeferi kutokana na kishindwa kuelewa Africa kabla ya ukoloni sasa kutakuwa na maana gani kutoa ukoloni bila kuungana kwa Africa yenyewe..?Swala Muungano alikosea vibaya Taifa Bora na tajiri watu million 60 kujiunga na watu Million 2 maskini ni aibu kubwa
Kati ya kitu ninachokubaliana na Uzi wako ni Muungano!View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.
Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.
Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius Taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.
Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.
Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.
Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.
Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.
Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius Taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.
Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.
Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.
Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Umeelezea vizuri sanaNyerere Kama binadamu mwingine yoyote yule, alikuwa ana mazuri yake lakini pia alikuwa ana mabaya yake, ingawaje kwa kiasi kikubwa mapungufu yake mengi yalikuwa yanavumilika ukimlinganisha na wenzake wengine wote waliomfutia.
Baadhi ya mabaya au ubovu wa Mwl. Nyerere:-
1. Kuiga, Kuanzisha na kuendeleza Sera na Itikadi Mbaya kabisa ya Siasa za Ukomunisti/Ujamaa hapa Tanzania.
Huu ndio ulikuwa mwanzo wa Kujenga Msingi mbovu wa Taifa la hovyo kabisa lililopo hivi sasa.
Itikadi na Sera ya Ukomunisti/Ujamaa ikaja kushindwa vibaya Sana huku yeye mwenyewe akishuhudia kwa macho yake kushindwa kwa itikadi yake aliyoileta hapa Tanzania kutoka kwa marafiki zake wa China, Urusi na Cuba.
2. Kutengeneza Taifa la Watu waoga, Wanyonge, dhaifu wa fikra wasiojitambua na Wala wasioweza kuhoji. Taifa la watu 'misukule'.
3. Kutengeneza au kuunda nchi isiyokuwa na Mipango-miji, hususani kupitia kwenye Sera yake mbaya kabisa ya ujamaa/Ukomunisti. Sera au Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti ndio ilikuwa chanzo Cha Kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, the Worse Operation that completely destroyed the Country and Town Planning process within the Country.
Arusha Declaration and Operation Vijiji also led to the Death of Real Estate Industry and its development.
Kupitia Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti, Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, Watu wengi sana walinyang'anywa Ardhi zao pamoja na majumba yao waliyokuwa wakimiliki. Nyumba nyingi sana za Watu zilitaifishwa, Leo hii nyumba hizo zinamilikiwa na Shirika la Nyumba (NHC).
4. Kutuletea Katiba ya nchi ambayo ni mbaya kabisa, isiyofaa na ambayo imesababisha na inaendelea kusababisha madhara makubwa sana kwa Raia. Katiba mbaya ambayo imewatengeneza Watawala wa nchi hii kuwa 'Miungu Watu.'
ni akili ndogo ndio inadhan sera ndo inasababisha umasikini kama yako.Pamoja na mazuri yake mengi sana kwa Taifa lakini hakuna jambo alichemka kama kueneza sera za kishamba na kinafiki kama ujamaa. Tupo hapa tulipo kwasababu ya sera zake za ujamaa
Ujamaa hauko wa aina mojaTunaujua ujamaa wa kisovieti uliopuyanga vibaya sana
Wewe elezea ujamaa ni nini
Ule vitasa vya kutosha
China imeendelea kutokana na ku-adopt mchanganyiko wa sera na itikadi katikà Utawala wa nchi hiyo. Watawala wa China walishituka mapema na waliamua kuweka mchanyato au mseto wa itikadi za Ujamaa/Ukomunisti, Upebari, ubeberu, n.k., that's why wameweza kuendelea haraka sana na kuzipita hata baadhi ya nchi za Ulaya ambazo ziliwahi mapema zaidi kuwa na maendeleo makubwa sana.Ujamaa hauko wa aina moja
Ni kama vile watu ambavyo hawauelewi ucommunist lakin ndo huo huo kautumia china kuzipiku nchi zote had kawa wapili kwa marekan kiuchumi
Kwamba sera haisababishi mafanikio au anguko,umevaa chupi mzee!?ni akili ndogo ndio inadhan sera ndo inasababisha umasikini kama yako.
Nadhan huelewi ujamaa ni nini
China siyo nchi ya kikomyunisti, halafu tofauti ya ujamaa na ukomyunisti ni ipi?Ujamaa hauko wa aina moja
Ni kama vile watu ambavyo hawauelewi ucommunist lakin ndo huo huo kautumia china kuzipiku nchi zote had kawa wapili kwa marekan kiuchumi
Acha uhuni unaweza kutupa hotuba hiyo mwongo mkubwa wewe?Nani kasema Nyerere genius?
Nyerere alikuwa anahutubia mkutano Jangwani 1959 anasema yeye peke yake Tanganyika ndiye mwenye degree.
Sasa unadhani Watanganyika walipokuwa wanamtafuta rais wangemchagua nani?