Halafu ukiona jitu linaamka linawaza Nyerere ndiye sababu ya upumbavu wake basi jitu hilo ni bora lingekuwa ng'ombe tu.
Nyerere hakuikuta nchi hii mikononi mwa bibi yako.Aliikuta mikononi wa wakoloni na yeye akadhani ni vizuri kupigania Uhuru.
Kwa sasa Nyerere hayupo tena miaka mingi sana.Kwa nini usiganie unachoona Nyerere hakukifanya badala yake unalala njaa unaanza kuota Nyerere?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nyerere hakuikuta nchi hii mikononi mwa bibi yako.Aliikuta mikononi wa wakoloni na yeye akadhani ni vizuri kupigania Uhuru.
Kwa sasa Nyerere hayupo tena miaka mingi sana.Kwa nini usiganie unachoona Nyerere hakukifanya badala yake unalala njaa unaanza kuota Nyerere?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app