Huwezi Pinga Kuwa Dini (madhehebu yote) yamegeuka kuwa biashara zinangonya waumini. Kama una hoja utasikilizwa na kujibiwa

Huwezi Pinga Kuwa Dini (madhehebu yote) yamegeuka kuwa biashara zinangonya waumini. Kama una hoja utasikilizwa na kujibiwa

Lengo la kutoa sadaka kama dini zinavyo fundisha ni lengo nzuri sana sema sasa binadamu zaidi hii ngozi nyeusi imegeuza makusudio mema ambayo Mungu alikusudia katika utoaji kama sehemu ya kujinufaisha wao na matumbo yao .Haingii akilini waumini wajenge shule ila shule ikikamilika watoto wa wachungaji wao wanasoma bure ila katika kanisa kuna kundi la watu ambao hawana uwezo hata kidogo ila hawapo katika mpango wakusoma kwenye hizo shule . Sadaka zingetumika vizuri kama jinsi ambavyo vitabu vya dini vinafundisha ingekuwa ni jambo la kumtukuza Muumba lakini badala yake viongozi wa dini ndio wanataka wawe wanatukuzwa sababu ya kuendesha magari ya kifahari na kuishi katika majumba mazuri.
Niliwahi uliza sehemu kwanini Watoto wa wachungaji wanasoma Bure? Mzee wa kanisa lile akaanza kuwatetea Eti wachungaji Wana kazi kubwa mno ya utumie!! Ili Hali wa kwakwe hawasomi hizo shule wanasoma kayumba lakini michango Hadi anauza vitu vyake binafisi nilisitikika mno hii Hali ila yeye aliona ni sawa kabisa.

Ukweli lazima usemwe hao Watoto wa wachungaji Wana bima za afya na washiriki ndo wananyonywa kulipia hata gari ikiharibika iwe ya paroko ama mchungaji waumini lazima mpambane kutengeneza haijarishi imeharibika akiwa kwenye mashamba yake au misele waumini mtatengeneza.


Hii kama sio biashara ni Nini? Tuamke tupinge hata kama wakituona tumekuwa wafedhuri ni Bora mara100 lakini ukweli waupate kuwa tumezinduka!

Hospital mnajunyimaa mnajenga Hadi inakamilika lakini ukienda kutibiwa gharama zipo pale pale. Kwani lakini?
 
Niliwahi uliza sehemu kwanini Watoto wa wachungaji wanasoma Bure? Mzee wa kanisa lile akaanza kuwatetea Eti wachungaji Wana kazi kubwa mno ya utumie!! Ili Hali wa kwakwe hawasomi hizo shule wanasoma kayumba lakini michango Hadi anauza vitu vyake binafisi nilisitikika mno hii Hali ila yeye aliona ni sawa kabisa.

Ukweli lazima usemwe hao Watoto wa wachungaji Wana bima za afya na washiriki ndo wananyonywa kulipia hata gari ikiharibika iwe ya paroko ama mchungaji waumini lazima mpambane kutengeneza haijarishi imeharibika akiwa kwenye mashamba yake au misele waumini mtatengeneza.


Hii kama sio biashara ni Nini? Tuamke tupinge hata kama wakituona tumekuwa wafedhuri ni Bora mara100 lakini ukweli waupate kuwa tumezinduka!

Hospital mnajunyimaa mnajenga Hadi inakamilika lakini ukienda kutibiwa gharama zipo pale pale. Kwani lakini?
Mi binafsi nilijua huo mchezo mda mrefu sana kua hawajamaa wananufaika kupitia sisi.
 
Mi binafsi nilijua huo mchezo mda mrefu sana kua hawajamaa wananufaika kupitia sisi.
Nina miaka kadhaa Kwa Sasa nikipata nafasi ya chochote kitu natoa Kwa wahitaji direct sipeleki kitu kanisani otherwise nimependa. Shida Kwa wanawake anakwambia ataonekanaje Kwa wenzie na hapa unajua hatoi Kwa ajiri ya Mungu Bali Kwa watu watamchukuliaje
 
Nina miaka kadhaa Kwa Sasa nikipata nafasi ya chochote kitu natoa Kwa wahitaji direct sipeleki kitu kanisani otherwise nimependa. Shida Kwa wanawake anakwambia ataonekanaje Kwa wenzie na hapa unajua hatoi Kwa ajiri ya Mungu Bali Kwa watu watamchukuliaje
Mi ninaposali Viongozi wakanisa walishawai kuniiliza mbona haueleweki, nikajua wanacholenga, nikawajibu, Mtanielewa ni swala la muda tu.
 
Mi ninaposali Viongozi wakanisa walishawai kuniiliza mbona haueleweki, nikajua wanacholenga, nikawajibu, Mtanielewa ni swala la muda tu.
Mimi walisusa kuleta ibada ya jumuiya kisa sitoi michango. Na wakawa wanasema hadharani eti huyu akipata matatizo atakuwa umuhimu wa michango na nguvu ya jumuiya.


Nikaamua nimuulize mwenyekiti wa jumuiya nakosea wapi kuwapa wahitaji msaada? Na wengine nimewaleta Hadi kanisani je kosa lipo wapi?


Akajiuma wee badae akasema usikililize ya watu kabisa na wewe unachofanya ni sahihi.

Nikamwambia kama nikipata tatizo Wala msihangaike kuja kama mtaona sisitahili kupatiwa hiyo Huduma na Imani jamii naishi nayo vizuri hivyo watabisaidia wao.
 
mkuu ulichoandika ni kweli tupu, ni heri wajasiriamali uliowataja kuliko padre analazimisha anunuliwe prado na asiyechanga familia yake ikifiwa hawatapa huduma ya ibada ya mazishi kutoka kwa padri
 
mkuu ulichoandika ni kweli tupu, ni heri wajasiriamali uliowataja kuliko padre analazimisha anunuliwe prado na asiyechanga familia yake ikifiwa hawatapa huduma ya ibada ya mazishi kutoka kwa padri
Huku ndo tulikofikia mkuu. Yaani mnafanyiww harambee ya kununu gari Tena la gharama kubwa.Lakini mle mle kanisani Kuna wahitaji wengi wanahitaji msaada.
 
Michango makanisani itaendelea kurindima hadi pale Yesu Kristu atakapo rudi, ndio ponea yetu.

Asilimia zaidi ya 70 ya Makanisa, wako after michango ya waumini.

Kuna baadhi ya Makanisa ukienda Ibadani J2, kuna kuwaga na Utitiri wa sadaka zaidi ya 5. Hapo bado hujauziwa Vijitabu vya Maono ya Mchungaji, gazeti la kanisa, vitini vya utaratibu wa undeshaji wa Ibada siku hiyo kanisani, kumshika Mkono mchungaji mgeni aliyekuja kuwasalisha ibada siku hiyo, kumshika mkono Mchungaji anayeenda Seminar nje ya kanisa kwa wiki kadhaa, shukrani kwa kuvushwa wiki, malimbuko, sadaka ya kujimaliza/kumjaribu Mungu uone kama hatakutendea yaliyo makuu, sadaka ya kulinda upako wako, sadaka ya kujilinda na Wachawi, sandaka ya ujenzi wa kanisa, kupeleka injili magazetini/Radioni, na nyiniginezo lukuki.

Tuimbe sana ili tuweze kuwa na Macho ya rohoni. Ili Mungu aweze kutuepusha na huu ulaghai. Sababu haileti maana, church member anapagwa na Shida ya Ada ya Mwanae halafu anashindwa kusaidika katika ministry/huduma/kanisa analo pata huduma ya kiroho. Hii ni ajabu sana. Hata Yesu akirejea leo, pepo itakuwa ni kwa wachache sana, na usishqngae hata kumuona yule unayemuita Kiongozi wako wa kiroho naye mko kundi moja la kwenda njia ya 🔥 🔥 🔥
 
Nipo tiyari kukosolewa lakini Kwa uthibitisho tu na sio mbwembwe zingine.

Kwanza hakuna kwenye biblia sehemu yoyote Ile watu walifanya harambee ya kumnunulia mtume ama nabii punda ama farasi Kwa Wakati huo maana hapakuwa na magari Wala pikipiki.

Hivyo usafiri wao ulikuwa Punda,Ngamia au farasi. Lakini bado sijawahi ona waumini/washiriki wa kipindi hicho wakifanya changizo Ili wanunue japo punda ya nabii/mtume wao.

Kwanini na sema haya? Saivi dini zimegeuka kuwa biashara kubwa sana na wengi wamekuwa wakitoboa ndani ya muda mfupi.

Sababu zake ziko wazi tu.

Hapa nitataja makanisa makubwa mawili tu kama mfano achana na miradi binafisi ya wakina Geodavie, Malisa, Mwamposa, Sunguye nk.

Tangu ni zaliwe na kukulia katika Ukristo bado sijawahi ona eti kanisa limejengwa na mtu mmoja ama hata wao wenyewe makao makuu.

Katika Kijiji chetu tulikuwa tunasalia darasani miaka ya 90 Na badae tukaanza michango tukanunua kiwanja wenyewe bila msaada wa paroko ama katekista baada ya kununua kiwanja tukafyatua matofali ya tope sisi wenyewe.

Hatimaye tukaezeka kwa nyasi. Ukumbuke mafundi ilikuwa Bure kufyatua nk Kila kitu tulifanya juu yetu wenyewe watu wakijitoa Hadi misosi Wakati wa ujenzi wa kanisa Hilo.

Baada ya kukamilisha watu walizidi kuongezeka mara dufu na hatimae tukafanya harambee na kuezeka Kwa bati na kujenga Kwa cement.

Katika kipindi hicho chote tulikuwa tunatoa sadaka na zaka tu michango ilikuwepo kama tu hapo kanisani Kuna muumini anahitaji msaada na tulikuwa tunatoa shilingi kumi ishrini na wenye uwezo watatoa shilingi200 hata 500 kabisa.

Sasa baada ya kuwa wengi na kuwa tumejenga michango ikaanza maradufu sijui ilitokea wapi hasa miaka ya 2006-2009 michango ilikuwa mingi mara imetoka jimboni au parokiani. Hapohapo tunaambiwa kumtegemeza katekista nk.

Ketekista huyu huyu mnaishi nae anakwakwe analima na kufanya Kila kazi lakini Cha ajabu anategemezwa(kuchangiwa)

Hadi Sasa michango imekuwa mingi sana na kutajirisha watu wengine tu.

Hapa ni makanisa yote hata Kwa wasabato mambo ni Yale Yale wanaweza wakaanza wao huita kundi Hilo kundi linakuwa la watu hata7 tu au chini/zaidi ya hapo.

Lakini punde wakiwa wengi tu michango na harambee kuuziwa vitabu vya roho ya unabii lesoni nk ukipiga hesabu unaona wazi kabisa hapa hizi ni biashara.

MFANO Kwa wasabato Kila baada ya miezi3 wanakuwa na lesoni mpya na wananunua na usiponunua Kuna mafungu kadhaa wakadhaa utasomewa ukitishwa kuwa hutakua kiroho utabaki Hivi Hivi miaka nenda Rudi.

Ukija kwenye vyombo vya mziki(choir) mtachangishwa kama kawaida kununua vyombo vya mziki vya kisasa. Yaani Kila kitu kinacho li husu kanisa mtachangishwa.

Lakini ikumbukwe kuwa Zaka na sadaka mnatoa Kila Leo na iwapo ikionekana matoleo yamekuwa kidogo atakuja kiongozi wa juu huko kuja kuhimiza watu wamtolee Mungu matoleo.


Kwa upande wa Roma wao wameenda mbali zaidi usipotoa michango na ikatokea ukapatwa na maswahibu basi tegemea hutapata msaada kutoka kanisani.

Ikumbukwe kule utauziwa Kila aina ya sanamu uitakayo japo sio lazima ila rozali ni muhimu utanunua Kuna kanga za bikira maria na batiki zenye picha ya yesu kabeba kondoo utauziwa. Sijui kanga za Wawata nk

Sasa Hivi tuna barua ya zawadi ya mtoto yesu ambayo tumepangiwa kiasi Cha kutoa Kwa waajiriwa!?

Ikifika kiangazi pia Huwa tunatoa shukuran ya mavuno (matomoro)
Pia Kuna matoleo maalumu Kila Misa hapa hutolewa Kila aina ya mazao inayopatikana maeneo hayo

MFANO wa matoleo hayo ni kama
Ndizi,tikiti mahindi,tambi,Mvinyo kama dompo,asali,mbuzi,kuku,mchele nk

Lakini michango Iko palepale na hawana huruma na maisha Yako.
Ukipata tatizo wewe utaombewa ila wao wakipata shida watahitaji Hela. Tuamke.

Kwa kifupi mambo ni mengi sana ambayo tunayafanya wenyewe tu bila kutegemea msaada wa wazungu (makao makuu) lakini punde tu tukikamilisha Hela zinaenda huko zote.

MFANO mkajichangisha mjenge shule ama hospital (jambo zuri ) Mtachangishana Kwa kushikana mashati Hadi shule/hospital mtamaliza lakini usitegemee eti Kwa sababu mlichangia Kwa kuuza kuku na mbuzi wako Ili ijengwe Ile shule utapata japo discount kidogo tofauti na yule hajachanga kabisa Bali ada utatoa kama kawaida na mtoto wako atarudishwa tu iwapo utachelewa kumlipia ada yake.

Cha ajabu ni kwamba Watoto wa wachungaji watasoma Bure Watoto wa maaskofu watasoma Bure kabisa licha kuwa hawo wachungaji wanalipwa mishahara minono kuwazidi Hadi waalimu.

Hapohapo wanaosomeshewa Watoto wao Bure usafiri wananunuliwa,nyumba anaishi Bure Tena nzuri chakula umeme na maji washiriki wanalipia.

Choo kikijaa kanisa litahusika kutoa Hela ya mzibuaji. Sasa unakaa unajiuliza inakuwaje hii na watu Bado hatuzinduki na kupinga haya mambo. Na hata itokee kanisani labda Kuna mtoto wa masikini asiye jiweza kusomesha na ana akili na hata kanisani ana mahudhurio mazuri namna Gani hawezi soma Bure otherwise washiriki washikane mashati kumchangia la sivyo hata soma abadani.

Nimesikia wasabato Hadi wamepelekana mahakamani Kwa kula rushwa mamilion ya kanisa. Hao wanaitwa watumishi wa Mungu wamemuibia Mungu Hela na suruhisho ni mahakamani Wala sio Kwa Mungu Tena.

Nimezungumzia makanisa mawili haya kama mifano achana na wajasiriamali wa hadharani kama nilivyo wataja hapo juu Hawa wameiga na kuja kiubunifu zaidi.

Ndio maana wanauza maji,vitambaa, mchanga na mafuta ya upako.Hawa wameiga tu.

Ifike mahala Sasa tutoke usingizini tupinge maana niliwahi kusikia mchungaji wa kisabato akisema michango itazidi kurindima Hadi yesu arudi. Kwa maana ya haraka yesu asiporudi mapema kazi tunayo na pona yetu yesu arudi mapema.

Nimeekeza Kwa uchache sana lakini yapo mengi zaidi yanafanyika.

Waafrica Vijana wenzangu wapo tiyari kuunda kwaya wakachangishana na kununua vyombo vya mziki vya mamilio ya shiringi. Lakini hao hao hawawezi kujichangisha walau wawe na kiwanda japo Cha kutengeneza sabuni kamwe hawawezi.

Tupingeni biashara hizi zilizo kuja Kwa mgongo wa dini.


Kwa maelezo haya yote naomba kujuzwa wapi kwenye biblia kumewahi kuwa na mshike mshike kama tulio nao Sasa?

NB: Usilete habari za Anania na safira hapa.View attachment 3178150
Japo utapingwa vikali na wafia dini lkn huo ndio ukweli wenyewe.
 
Mkuu umeandika vingi sana kwa upande wako unaweza kuwa na hoja but kwangu hainiingii akilini,miaka ya nyuma Kanisa Katoliki lilikuwa linapata misaada kutoka nje ila toka 2000s misaada ikakatwa so waamini wenyewe sisi ndiyo tunapaswa kulisimamia,kutoa sadaka hakufilisi kama unatoa kwa akili ulizojaaliwa na Mungu,watu hela tunahonga,tunakula beers michango ya harusi tunachanga vitu vya hovyo kabisa lakini kuiheshimu imani tunashindwa.

Lengo siyo kujisifia,hapo chini nimeenda leo kununua column speakers kwa ajili ya Kanisa lililonilea kijijini kwetu baada ya kuhudhuria ibada mwezi august nikasikia moja ya mipango ya Paroko ni kubadilisha spika zilizokuwepo (za radio) hazifai zinunuliwe nyengine,nimewiwa tu kushiriki ktk hilo na siyo kwamba nina hela nyingi sana.picha nilizipiga kwa ajili ya kumbukumbu zangu ila bahati mbaya sana nazitumia hapa naweza kuonekana kama najivuna but sivyo lengo langu ni ili watu wajue hata kama imani zao zimelala wapo bado ambao zipo hai.View attachment 3178197View attachment 3178198
Kanisa limekulea au wazazi wako ndio wamekulea
 
Michango makanisani itaendelea kurindima hadi pale Yesu Kristu atakapo rudi, ndio ponea yetu.

Asilimia zaidi ya 70 ya Makanisa, wako after michango ya waumini.

Kuna baadhi ya Makanisa ukienda Ibadani J2, kuna kuwaga na Utitiri wa sadaka zaidi ya 5. Hapo bado hujauziwa Vijitabu vya Maono ya Mchungaji, gazeti la kanisa, vitini vya utaratibu wa undeshaji wa Ibada siku hiyo kanisani, kumshika Mkono mchungaji mgeni aliyekuja kuwasalisha ibada siku hiyo, kumshika mkono Mchungaji anayeenda Seminar nje ya kanisa kwa wiki kadhaa, shukrani kwa kuvushwa wiki, malimbuko, sadaka ya kujimaliza/kumjaribu Mungu uone kama hatakutendea yaliyo makuu, sadaka ya kulinda upako wako, sadaka ya kujilinda na Wachawi, sandaka ya ujenzi wa kanisa, kupeleka injili magazetini/Radioni, na nyiniginezo lukuki.

Tuimbe sana ili tuweze kuwa na Macho ya rohoni. Ili Mungu aweze kutuepusha na huu ulaghai. Sababu haileti maana, church member anapagwa na Shida ya Ada ya Mwanae halafu anashindwa kusaidika katika ministry/huduma/kanisa analo pata huduma ya kiroho. Hii ni ajabu sana. Hata Yesu akirejea leo, pepo itakuwa ni kwa wachache sana, na usishqngae hata kumuona yule unayemuita Kiongozi wako wa kiroho naye mko kundi moja la kwenda njia ya 🔥 🔥 🔥
Saivi makanisa hatupumui tena kama zamani ni stress tupu hata akija kiongozi wa dini kwako unawaza kaja kudai michango
 
Back
Top Bottom