Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Whatever you want him called...jibu hoja hizo 1.5T mmerecover how much so far?
Ucjisumbue ndg yangu wengi wao wanamatatizo ya akili hawajui hata wanachoongea na wengi wao ni vjana Toka chadema
 
Sukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.



View attachment 2581868
Mwenzako kaweka mada kwa maslahi ya Taifa wewe unaweka ushabiki mbele kiasi ambacho unashindwa kujua mtoa mada ni mshabiki mwenzako wa Chadema
 
Kwenu ubaya wa ufisadi mpaka mtazame sura, hizo lawama kazitoa nani?

Kama akizitoa mwenzenu mnamuunga mkono kukemea ufisadi.

Akitoa asiye mwenzenu mnampinga (Sukuma Gang), sijui ni ujinga wa sampuli gani huu.
Wamekariri wimbo alafu anashindwa kujua mtoa mada ni mshabiki mwenzake wa Chadema ila kaamua mada yake iwe kwa maslahi ya Taifa
 
Kumaliza ana maliza na kuongezewa Tena
Andika kulingana na tabia za kitanza ia
Usiandike unacho ota hapana ndugu umepotoka


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Mwamba umeua kila kitu ushabiki wa kisiasa unaharibu nchi
 
1. Mitumba (mabeloni) kibao yamekutwa nyumbani kwake baada ya kifo chake.
2. Ametumia fedha kibao kwenye ijiji cha Chato alikomaa kukijenga ili kiwe jiji.

Umeridhika??
tupe ushahidi , kama ni kwel hayo yangekuwa stori sasa hv , wewe ulitoa habari wap? PILI CHATO GANI ILIYOTUMIA PESA KIBAO , HUU UZINJANTHROPUS MUWE MNAUFICHA BASI , BONGO UKISIKILIZA MANENO UNAEZA HISI SEHEM IMEKUWA KAMA ULAYA KUMBE HATA LAMI ZA MITAA HAWAZIJUI View attachment 2582104View attachment 2582103View attachment 2582102
 
Huwa sibishani na sukuma gang. Maana bado yana majonzi
acha ukabila ww znjnthropus , tumetoka huko miaka mingi , mm mtu wa pwan ila sishabikii ufisad hata kdg
 
vip na report ya ASSAD kuhusu utombo alio fanya JPM wa Trillion 1.5 mbona husemi ule ni ufisadi mkubwa kuwai kufanyika nchini
thibitisha uwepo wa mali yoyote kaacha huyo mtu inayofikia hata nusu ya 1.5T , jmn kuna uongo mwingine unajionesha , alipostaf JK tuliona matajir wakidaiwa kodi mpk 1B , pia tuliona wafanyakaz hewa. , pia tuliona mtu mmoja kupokea mishahara 17 , KWANINI AWAMU HII IMEKUWA NA SHUTUMA ZA MDOMONI TU
 
Upigaji haujawahi kuisha,ni bora upigaji unaofichuliwa,kuliko upigaji unaofichwa kwa kuwapiga faini wasemaji,iwe tv,redio au magazeti labda kama ni mwana umoja party/sgang itakataa hili,25ml,faini kamata kamata ya akina P,fungia akina Mwanahamisi na wengine zote zilikuwa juhudi za kuunga mkono ufisadi wa aw5🤔
 
Hivi unaweza kuweka hapa sehemu ya ripoti ya CAG ikionesha hela zimeibwa kipindi cha mama zaidi ya hizo 800m za mikopo vikundi halmashauri?
kwahiyo hz 41B walikuwa wanataka kuzitunza tu ? upo uozo mwing watu wanalinda usalama wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…