Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Hii ndio bongo zuzu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukawa unatamba kwa majirani na kuringa kumbe upo uchii wallah..!
Dah...hizi ni dharau harif.
 
Huku wetu wapo bize kuleta umbea wa dp world kwenye social media..
 
Eti tuwe tunawaelewa..wewe na nani?,kama mmeenea njooni mtuchokoze
 
mie hta hyu bongozozo simuelew elew
 

Kwa hiyo anatujua in & out [emoji23]
 
Waendelee ku spy hivyo hivyo ila wasiyakanyage wala wasiyapime kwani watayakuta ya shingo,, ukanda huu wa afrika mashariki na kati na huku chini ukimtoa msouth hakuna kima yoyote anaetutisha!!!
 
Wewe unafikiri silaha za Rwanda zinapitia Bandarini, zinatua Kigali moja kwa moja.
 
Kutokana na hali halisi iliyopo hapa nyumbani kwetu, Mimi naona "yafaa tuwaunge mkono".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…