Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Shida ni ile rangi ya “UTO”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu umetembea kuanzia Raha Leo mpaka chang'ombe Kwa miguu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Wanaanza na wapi au wanapiga simultaneously sehemu zote??Najiandaa kusogea huko Ilipo Imani,Pendo na Miujiza.
Unatembea sana kwa miguu kuzurura. Ukiwa na gari au ukiwa busy wala hupati nafasi ya kuwa na hasira ya namna hii ... Lamba limao.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Nashauri tozo zielekezwe huko, na iwe kwa siku ambazo tangazo lipo ukutani au nguzoBora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Tuache ushabiki wa kidini this is too much ubandikaji gani ule wa matangazo
Nadhani mpaka kipofu ataona hilo tangazo. Nilipita JANGWANI juzi nikakuta kikundi cha watu chini na ndoo za gundi na hayo mapeperushi nikajisemea wapuuzi kwenye upuuzi wao...
Mimi kama mkuu wa mkoa mstaafu nawaamuru mkutano wao wa dini utakapo isha waende wakasafishe kuta za watu
Ova
Ila kipindi cha uchaguzi na mabango yenu ya madiwani na wabunge na rais hainaga Shobo ni shega tu.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, mabango ya ulaji tena yaliyojaa matumaini ya rushwa wizi na ubadhirifu lazima yabandikwe kisafi kisafi na kimpagilioMabango ya wabunge, madiwani na hata rais huwa hayabandikwi kiuchafu namna hii!
Kwa nchi zilizojaa ustaarabu huu ujinga na uchafuzi wa mazingira usingefanyika kamwe hatuwezi kuona jiji linachafuliwa kiasi hiki kisa imani.
Mwambie huyuNilidhani una hoja ya maana kumbe umeona matangazo usiyoyapenda wewe binafsi yako
Maana maeneo hayo hayo matangazo ya wengine hasa waganga wa kienyeji yapo,hujaongea lolote,umeona hili usilolipenda umeamua kuongea
Kwanini usipige marufuku matangazo ya aina yeyote hua yanakua maeneo hayo siku zote?
Matatizo ya double standard yanakupelekesha sana..Kaa kwa kutulia mkuu
kama hujui kitu uliza ...kuliko kuongea vumbiAcha watu wakamchangie muhindi gharama alizotumia kutangaza.
Mpaka karne ya ishirini na moja binadamu mwafrika hajui injili mpaka aende mkutanoni, biblia zimejaa ndni, YouTube, Facebook, minyimbo ya onjili kila kona nk bado hawaelewi kilichoandikwa ila wiki moja ya muhindi wataelewa zaidi.
Ajabu sana.
WMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
We acha porojo karibu kwenye mkutano wa injiliMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe