Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

IMG_0858.jpg

Mbuzi wangu amerudi na imani upendo miujiza
 
Nawewe ukizubaa unabandikwa hilo tangazo dadeki!!
 
Uchaguzi uliopita, makaratasi ya Magufuli yalibandikwa hadi kuta za ubalozi wa Ufaransa, pale Hamza alipofanya yake.
hahahahaha umenikumbusha kitu wale wapuuzi mbona hawakubandika ukuta wa jengo la Eagle Wings Pale Oysterbay?
Nilicheka Sana baada ya kuona Ile Haile Selassie road wamebandika shule ya msingi Oysterbay na bongoyo kufika pale kwa mtoto wa Bakhresa wakachimbwa mkwara na walinzi wakasepa mbele pale Usalama wakaruka wakaenda bandika mbele

Halafu Kuna nyumba Moja ya mzungu ipo mkabala na nyumba mpya ya balozi wa Oman wakabandika mengi kinoma
Yule mzungu aliwamaindi walinzi Kwa uzembe na adhabu Yao ikawa kuyabandua na kuosha ukuta
Kile kitendo kilinifanya nijisikie mbaka aibu Kama raia wa Tanzania maana kupitia mabango ya jiwe tukaonekana ni watu wa hovyo Sana
😂😂😂😂
 
hahahahaha umenikumbusha kitu wale wapuuzi mbona hawakubandika ukuta wa jengo la Eagle Wings Pale Oysterbay?
Nilicheka Sana baada ya kuona Ile Haile Selassie road wamebandika shule ya msingi Oysterbay na bongoyo kufika pale kwa mtoto wa Bakhresa wakachimbwa mkwara na walinzi wakasepa mbele pale Usalama wakaruka wakaenda bandika mbele

Halafu Kuna nyumba Moja ya mzungu ipo mkabala na nyumba mpya ya balozi wa Oman wakabandika mengi kinoma
Yule mzungu aliwamaindi walinzi Kwa uzembe na adhabu Yao ikawa kuyabandua na kuosha ukuta
Kile kitendo kilinifanya nijisikie mbaka aibu Kama raia wa Tanzania maana kupitia mabango ya jiwe tukaonekana ni watu wa hovyo Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eagle Wings Pale Oysterbay?
Embu type picha ya hapo na ututafsirie kwa kiswahili
 
Eagle Wings Pale Oysterbay?
Embu type picha ya hapo na ututafsirie kwa kiswahili
mkuu Sina picha ya eneo sababu now nipo mbali
Eagle Wings ni head office ya TISS hapa bongo ni kama Pentagon pale USA
Mfumo wa jengo la Usalama bongo paa lake limejengwa Kwa mfumo tai anavyoruka ndio maana hua tuna liita a.k.a eagle wing lipo mtaa wa Oysterbay huku daslamu!
 
Acha watu wakamchangie muhindi gharama alizotumia kutangaza.
Mpaka karne ya ishirini na moja binadamu mwafrika hajui injili mpaka aende mkutanoni, biblia zimejaa ndni, you tube, facebook ,minyimbo ya onjili kila kona nk bado hawaelewi kilichoandikwa ila wiki moja ya muhindi wataelewa zaidi.
Ajabu sana.
Umeongea pumba mbaka kinyaa unajua umuhimu wa mikutano hiyo???!na katika ukristo hiyo ni lazima labda kwenye dini yako wewe, na mkristo wewe basi ni kilaza
 
Kau
Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k

Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.

=========

View attachment 1943336

View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar

View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Kachafua sana mji hata mimi nashangaa kwa ukimya huu pale bondeni darajani New Bagamoyo rd , nguzo za daraja lote ambalo ni jipya zimesilibwa na haya makaratasi,mimi nilidhani Mzee Mpili wa Yanga ana neno la kunena kwenye hili daraja. Sijui viongozi wako wapi
 
Kau

Kachafua sana mji hata mimi nashangaa kwa ukimya huu pale bondeni darajani New Bagamoyo rd , nguzo za daraja lote ambalo ni jipya zimesilibwa na haya makaratasi,mimi nilidhani Mzee Mpili wa Yanga ana neno la kunena kwenye hili daraja. Sijui viongozi wako wapi

Wanaobandika huo uchafu wanajisikiaje huko waliko?
 
Tuvumiliane tuu kwa kuwa hayana madhara yoyote. Kila imani inakera mwenzake hivyo kuvumiliana ndio amani yenyewe
 
Nilidhani una hoja ya maana kumbe umeona matangazo usiyoyapenda wewe binafsi yako

Maana maeneo hayo hayo matangazo ya wengine hasa waganga wa kienyeji yapo,hujaongea lolote,umeona hili usilolipenda umeamua kuongea

Kwanini usipige marufuku matangazo ya aina yeyote hua yanakua maeneo hayo siku zote?

Matatizo ya double standard yanakupelekesha sana..Kaa kwa kutulia mkuu
na masaki yako kibao ya massage SPA parlour

hajayaona
 
Acha watu wakamchangie muhindi gharama alizotumia kutangaza.
Mpaka karne ya ishirini na moja binadamu mwafrika hajui injili mpaka aende mkutanoni, biblia zimejaa ndni, you tube, facebook ,minyimbo ya onjili kila kona nk bado hawaelewi kilichoandikwa ila wiki moja ya muhindi wataelewa zaidi.
Ajabu sana.
Nasikia jamaa hachukui hata mia
 
Kumbe issue ni jinsi ya kubandika pattern yake hujaipenda?

Ulitaka aweke pattern unayotaka wewe?

Basi waelimishe waelewe waweke kwa staili unayoipenda

Kumbuka wewe ni mtu mmoja una staili yako,watakuja wengine milioni kama wewe kila mmoja anapenda pattern yake,mbandikaji hawezi wafata wote mtakayo,the logical solution ni yeye kufata anafikiri kichwani mwake.

In principle tulitaka utuambie wamevunja sheria gani ya nchi?

Kama by your own judgement unaona wamevunja sheria pahala,well,wafungulie kesi

Naona humu kila mtu analalamikia staili anayoitaka yeye kwenye macho yake,ni ngumu kufata staili za watu milioni 60 kama wewe!

Sometimes wanadamu muwe mnaangalia legality ya kitu na sio macho yako yanataka nini,kama kavunja laws then take action na sio tufuate upendezo wa macho yako wewe mtu mmoja!
Tatizo lako ni kusoma sentensi yangu ya kwanza tu na kabla ya kumaliza andiko langu zima unawaki keyboard kuanza kujibu. Ungesoma yote wala usingeandika ulichoandika!!
 
Back
Top Bottom