moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sheria zipi wakati Mwigulu alifanya hivyo mwaka 2015 nchi nzima na hakuna hatua aliyochukuliwaMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Hayo mabango yamewekwa na kamati ya maandalizi ya Mkutano mkubwa wa Injili utaohubiriwa wahubiri wa CFAN, Christ for all Nation wakiongozwa na Daniel Kollenda. Mwinjilisti Daniel Kollenda amechukua kijiti toka kwa marehemu Reinhard Bonke. Mkutano huu unafanyika Jangwani kuanzia tarehe 10/10/2021Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Hii coment imepatq likes 90!!!!Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una akili sana, umepatiaAlivoondoka iringa ilikua ruksa kuyachukua ukauze au ujuavyo ww
atakuwa anapiga mikutano zaidi ya mitano kona zote za Dar kwa wakati mmoja.
Umeelewa ulichoandika?
Amebandika Kila sehemu,Kila konaHapo naona jamaa alipewa tenda ya kusambaza na kubandika kila sehemu
Yeye akaona ujanja na kuyabandika sehemu moja na kulipua kazi [emoji23]
Tuache ushabiki wa kidini this is too much ubandikaji gani ule wa matangazo
Nadhani mpaka kipofu ataona hilo tangazo. Nilipita JANGWANI juzi nikakuta kikundi cha watu chini na ndoo za gundi na hayo mapeperushi nikajisemea wapuuzi kwenye upuuzi wao...
Mimi kama mkuu wa mkoa mstaafu nawaamuru mkutano wao wa dini utakapo isha waende wakasafishe kuta za watu
Ova
Kazi za Mungu usipingeUmeona uchafuzi alioufanya..kwenye madaraja na Kuta za watu?
Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
View attachment 1945794
Baadhi ya mabango yakiwa yameondolewa eneo la ujezi wa flyover-Chang'ombe
Mkuu umeona ukiwa na gari ni njia ya kuzuia, aha huoni hio njia ina wapita na miguu, magarj, baiskeli, bajaji na mikokoteni.Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Yanga wameshinda kisa njano hioHahah!!!
Sisi CCM tutamsajili huyo jamaa atusaidie kumtangaza mama 2025, maana si kwa uwezo huo wa kuipamba Dar kwa vipeperushi