Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Nawasalimu katika IMANI,UPENDO na MIUJIUZA ,leo ni leo Injili itaanza,usipange kukosa.
Maisha ya dhambi uliyoishi yanatosha,sogea eneo la tukio leo kwa wale wa Dar usikie Mungu anasema nini na wewe.
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
IMANI,UPENDO ,MIUJIZA
 
Najiandaa kusogea huko Ilipo Imani,Pendo na Miujiza.
 
Unatembea sana kwa miguu kuzurura. Ukiwa na gari au ukiwa busy wala hupati nafasi ya kuwa na hasira ya namna hii ... Lamba limao.
 
Upendo,Imani,Miujiza Leo ndio leo ,mikutano inafanyika kwa pamoja...nenda kwenye mkutano ulio karibu na wewe.
 
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Nashauri tozo zielekezwe huko, na iwe kwa siku ambazo tangazo lipo ukutani au nguzo
 
ukiwa shapu, kwa imani upendo na miujiza unaweza jikuta umepata ka binti kalokole chap
 

Utakuwa Makonda?
 
Kwa nchi zilizojaa ustaarabu huu ujinga na uchafuzi wa mazingira usingefanyika kamwe hatuwezi kuona jiji linachafuliwa kiasi hiki kisa imani.

Sasa hujasema nini kifanyike, umenung”unika tu hapa!
 
Mwambie huyu
 
kama hujui kitu uliza ...kuliko kuongea vumbi
 
W
We acha porojo karibu kwenye mkutano wa injili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…