Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,Habari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi...
Hapo ni umeshiriki moja kwa moja katika mauaji mmegawana hatia ila tu ni mjinga sana huyo bintiHuwa nazifata mimi dingi.
Yeye huwa namletea tu, sema kuna mara ya mwisho niligoma kutoa pesa angu mpaka akatoa yake nikamfatia...
Yaani mpaka nimeanza kuhisi huyu Dada siyo mtu ni jini maana hata wasi wasi hana na papuchi habani kila nikitaka ananipa.Akiwa mgumba badae akimbilie Kwa mwamposa mjinga sana
Itakuwa hayuko sawa kichwaniYaani mpaka nimeanza kuhisi huyu Dada siyo mtu ni jini maana hata wasi wasi hana na papuchi habani kila nikitaka ananipa.
Sijui ana wazimu
Ngono kabla ya ndoa ni ujinga.Habari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".
Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.
Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.
Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).
Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.
Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.
Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.
Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.
Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.
Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?
Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.
Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.
Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"
Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.
Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.
NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.
Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Achana na mademu hao walioahia darasa la nne la kufeliHabari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".
Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.
Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.
Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).
Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.
Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.
Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.
Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.
Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.
Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?
Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.
Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.
Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"
Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.
Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.
NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.
Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Ni form four na ni hotelia kasoma eti AMAZON COLLEGE of tourism ya DAR na anaogopa kondom, namshangaa sana.Achana na mademu hao walioahia darasa la nne la kufeli
Ni sahihi, lakini angalia kizazi tunacho ishiNgono kabla ya ndoa ni ujinga.
Mpinge kwa hoja sasaUliloandika ni la msingi, ila naomba nikupinge hapo kaka. Si kweli!
Nafikiri jibu lako ni sahihi kuliko yote au kama sivyo basi atakuwa ni jini siyo mtu.Itakuwa hayuko sawa kichwani
Sijui vitu haramu kaka.Miso kwa 70k..
Masihara hayo kaka, yaani 70 elfu, kanakupiga mzee.
Kidonge kimoja Miso ni 3000Ki- vipi
Kidonge kimoja Miso ni 3000
Ila hii ni Hance That means vinne ni 12k
Yaani angejua unavyomchukulia duh....ÑYaani mpaka nimeanza kuhisi huyu Dada siyo mtu ni jini maana hata wasi wasi hana na papuchi habani kila nikitaka ananipa.
Sijui ana wazimu
Halafu hanaga hata wasi wasi wala hajutiagi.Mimba ya 1 hadi 4 heeeee huyo ndyo Israel mwenyewe