Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Hizo elfu sabini sabini ndo unazopigwa bila wewe kujua ngoja nikiamka ntarudi kukufafanulia
 
Kabisaaa,mi nilipewa hiyo Siri Nina rafiki yangu anafanya kazi pharmacy ya jumla akaniambia huwa wanafurahi sana wakipata kichwa wanawauzia 40....yaani hiyo biashara ni triple profit
Nmefanya hii biashara....aisee Sema dada alikuwa annipiga sana anauza dawa zake zangu nazikuta kwenye mashelf..alifundishwa na wenzie maana mwanzoni alikuwa anauza na pesa naikuta...nikafunga najipanga nirudi upyaa..inalipa sana
 
Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Binti ana HIV anasubiri hadi uupate nae akuache.......acha UKUMA nenda kapime na achana na huyo MPUMBAVH mwenzako
 
Back
Top Bottom