Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Ipo siku atakuua huku anachekaHalafu hanaga hata wasi wasi wala hajutiagi.
Anajifariji kwamba mimba ya wiki 1 au 2 ni damu tu siyo mimba hivyo anajiona hajaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku atakuua huku anachekaHalafu hanaga hata wasi wasi wala hajutiagi.
Anajifariji kwamba mimba ya wiki 1 au 2 ni damu tu siyo mimba hivyo anajiona hajaua
Huyo ni nunda balaaIpo siku atakuua huku anachekq
Kabisaaa....hapo anaonekana msichana mbichi kumbe mama wa marehemuHao ndio huwa wanaolewa Kwa shangwe kwamba wamejitunza,huku single mother wakitukanwa kama laana,.....Sasa hapo sijui Bora yupi...
Wanawake wana siri kubwa sana, nilikuwaga sijui.Hao ndio huwa wanaolewa Kwa shangwe kwamba wamejitunza,huku single mother wakitukanwa kama laana,.....Sasa hapo sijui Bora yupi...
Vijana vijanaโฆ Tunaemwabudu atusaidie wallah!!Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Asikwambie mtu biashara ya dawa inalipa kichiziPharmacist wamezi overate sana miso bei yake halisi ni buku hizo
Na Huwezi kuwajua asilani!yaani wale wanao give life ndio wanaonekana hawafai,halafu wale wanaotoa Uhai ndio wanaonekana wa thamani.Wanawake wana siri kubwa sana, nilikuwaga sijui.
Tuwaone tu hivi kwa nje, ila matukio wanayo yafanya na kuyaficha kwenye mioyo yao yana tisha
Ndio boyfriend wako huyo anamsimulia rafiki yake ,imagine๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃVijana vijanaโฆ Tunaemwabudu atusaidie wallah!!
HahaaaPharmacist wamezi overate sana miso bei yake halisi ni buku hizo
Ni fedheha sana yan ๐คฃNdio boyfriend wako huyo anamsimulia rafiki yake ,imagine๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kabisaaa,mi nilipewa hiyo Siri Nina rafiki yangu anafanya kazi pharmacy ya jumla akaniambia huwa wanafurahi sana wakipata kichwa wanawauzia 40....yaani hiyo biashara ni triple profitAsikwambie mtu biashara ya dawa inalipa kichizi
Na inauma ujue, mwenyewe ndio umeingia mzima mzima kumbe mwenzio anakutolea upwiru๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNi fedheha sana yan ๐คฃ
Nilitaka kumwambia hivyo ila umeniwahi[emoji38][emoji38][emoji38]Unapigwa dingi
Hizo elfu sabini sabini ndo unazopigwa bila wewe kujua ngoja nikiamka ntarudi kukufafanuliaHabari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".
Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.
Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.
Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).
Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.
Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.
Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.
Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.
Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.
Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?
Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.
Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.
Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"
Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.
Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.
NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.
Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Ata ingekua million m sibishi ๐๐๐๐mambo ya sirini na uharaka kupigwa hakuepukiki.Hata mimi najua kuwa wao hununua bei ya jumla kwa 15k nafikiri kwa tembe 5.
Ila wahuni wakija mtaani wanatupiga mpaka 100k kwa tembe 5 kisa tu ni haramu
Nmefanya hii biashara....aisee Sema dada alikuwa annipiga sana anauza dawa zake zangu nazikuta kwenye mashelf..alifundishwa na wenzie maana mwanzoni alikuwa anauza na pesa naikuta...nikafunga najipanga nirudi upyaa..inalipa sanaKabisaaa,mi nilipewa hiyo Siri Nina rafiki yangu anafanya kazi pharmacy ya jumla akaniambia huwa wanafurahi sana wakipata kichwa wanawauzia 40....yaani hiyo biashara ni triple profit
Bora single mother kuliko hawa mabinti aisee.Na Huwezi kuwajua asilani!yaani wale wanao give life ndio wanaonekana hawafai,halafu wale wanaotoa Uhai ndio wanaonekana wa thamani.
Binti ana HIV anasubiri hadi uupate nae akuache.......acha UKUMA nenda kapime na achana na huyo MPUMBAVH mwenzakoHabari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".
Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.
Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.
Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).
Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.
Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.
Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.
Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.
Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.
Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?
Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.
Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.
Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"
Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.
Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.
NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.
Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.