Huyu binti atanifanya niwe masikini

Kwahiyo hospitali walimruhusu arudi nyumbani bila kulipa bill? Umesema alijisahau kurudi nyumbani na wakati huohuo unasema alipata ajali. Ajali na kujisahau vinaingilianaje
😃 😃 😃 😃 😃 😃 eti ajali na kujisahau vinaingilianaje... hili la kuruhusiwa bila kulipa bill lina ukakasi
 
Nimetumia hii mbinu, ameweza kuondoka
 
Siku vichocheo vikiondolewa kwenye mwili wa mwanaume, taasisi ya ndoa itakufa siku hiyo hiyo.
Heri yetu sisi tuliosoma shule za boys. Tulikuwa tunawekewa 'mafuta ya taa' kwenye maharage kwa hiyo miili 'haitusumbui' [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi yale mafuta ni milele au ni kwa kipindi kile tunasoma tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…