Huyu binti atanifanya niwe masikini

Kwa sifa zake ulizo zisema hapa hilo ni guberi la mjini, utajijua
 
πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ eti ajali na kujisahau vinaingilianaje... hili la kuruhusiwa bila kulipa bill lina ukakasi
Inafanyika mkuu
 
Utaweza kuishi na mke kweli wewe?
 
Ni hospitali gani sasa yenye ukichaa kiasi cha kumruhusu mgonjwa akamwite mtu wa kulipia bili baada ya kutibiwa?
Wewe ulikuwa na akili timamu kipindi unamruhusu aende bar(club) akashikweshikwe?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Umefanya numerudia kusoma story kwa umakini kwa mara ya pili!
Tusiwe washamba, Hujawahi kuona mtu analala hotel pamoja na kupata huduma zote; baada ya kupata huduma, anapelekewa bill, na si lazima alipe siku hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…