Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.
[emoji23][emoji23][emoji23] polesana
 
ivi ni hiyo hiyo 1500 tu au kuna kitu umekificha...? harafu wenzako mambo hayo tumefanyiwa sana kwakweli...hiyo initwa kupata na kukosa...
 
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.
Hesa ngumu hakuna kuhonga
 
Umenikumbusha mbali sana. Wakati tuko sekondari, ilkuwa siku nadra sana. Siku ya nyama na wali. Kuna jamaa alikuwa na wali na nyama zake 2. Basi kwa wema wa kiafrika, akamkaribisha mwanafunzi mwingine kula naye. Basi yule mwanafunzi akacchukuwa kinyama kimoja. Kumbe mkaribishaji hakumaanisha. Ilimsumbua sana ile nyama 1. Zilikuwa zimebaki siku 4 tuanze mtihani wa taifa. Basi hata mtihani alifeli kwa sababu ya ile nyama. Huyo dada kavunja line kwa sababu ya 1,500/= na wewe umepata pressure kwa sababu ya 1,500/=. Najiuliza nani alikupa nauli ya kwenda Zanzibar? Na nani alimpa nauli huyo dada ya kwenda Dubai?
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.
 
Back
Top Bottom