Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Kaka tunaomba namba tulipe hiyo pesa ya mwanamke mwenzetu..!!

Mtumishi Bufa vijana wako wanahitaji maombi mazito..!!
 
Tatizo hapa

img_8_1649658668740.jpg
 
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.

Mwanamke hakopeshwi!! Atakuja kukulipa tu usiwe na shaka ili mradi uvute subira!!
 
Wewe jamaa kavu sana,unalia lia sababu ya 1500!
Nakesha usiku kuandika projects kadhaa nipate pesa. Naumiza kichwa. Ni bora nijue tu nampa mtu lakini siyo kunitapeli. Sikuwahi tapeliwa before. Inaniumiza why anitapeli?
 
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.
Hela nyingi sana Mimi nililiwa 500 nikalazwa hospitali wiki moja
 
Huyu dada nilionana naye Hotel Flani Arusha tukawa marafiki. Ana issues nyingi sana sana za kusafiri kwenda Dubai n.k ni lidada hasa la ukweli aisee, toka kanda ya Ziwa huko. tukawa karibu na kadhalika.

Leo asubuhi kaniambia ameishiwa vocha nimtumie some amount nikamwambia nipo ofisini sina kitu kwenye simu. Akaomba hata kiasi chochote nikaangalia nikajikuta nina tsh 1,500 nikamrushia ili ajiunge maana kuna kitu alisema anataka aunge data then anitumie.

Toka saa tatu nimemtumia mpaka sasa hapatikani kwa simu nadhani ametupa na line kabisa maana nimewapigia kwenye mtandao jamaa zangu waniangalizie atakuwa wapi wanasema haiwezekani ku mtrace maana line imeharibiwa kabisa.

Mara ya mwisho alikuwa Zanzibar amabako nilimwacha jana nikaja Dar. Najiuliza huyu dada amewaza nini mpaka kunitapeli. Nimeumia miaka yote sijawahi tapeliwa why now? Je, nimeanza kuwa weak? Au ni nini hiki kitu, siku nzima ya leo sina amani kabisa, nikawaza je ningemtumia tsh elfu 5? maana hapo nimemtumia tsh elfu moja na mia tano. Wallah atakuja ilipa tu, jasho la mtu haliendi bure.
... Utoto Raha Sana! 1500/ unaanzishia Uzi? Zimeluuma Sana?
 
Kariport polisi, ukiwatoa 50,000 ya mafuta wanampata Huyo Dada na 1500 yako inarudi.
 
Back
Top Bottom