Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Kaka tunaomba namba tulipe hiyo pesa ya mwanamke mwenzetu..!!

Mtumishi Bufa vijana wako wanahitaji maombi mazito..!!
 

Mwanamke hakopeshwi!! Atakuja kukulipa tu usiwe na shaka ili mradi uvute subira!!
 
Nitumie namba yako nikutumie 1500 kwa niaba ya huyo dada..huruma
Tuwasiliane private please. Utume na kutolea maana usije ukatuma nikatoa ikapungua. Nashukuru sana
 
Wewe jamaa kavu sana,unalia lia sababu ya 1500!
Nakesha usiku kuandika projects kadhaa nipate pesa. Naumiza kichwa. Ni bora nijue tu nampa mtu lakini siyo kunitapeli. Sikuwahi tapeliwa before. Inaniumiza why anitapeli?
 
Hela nyingi sana Mimi nililiwa 500 nikalazwa hospitali wiki moja
 
... Utoto Raha Sana! 1500/ unaanzishia Uzi? Zimeluuma Sana?
 
Nakesha usiku kuandika projects kadhaa nipate pesa. Naumiza kichwa. Ni bora nijue tu nampa mtu lakini siyo kunitapeli. Sikuwahi tapeliwa before. Inaniumiza why anitapeli?
...Wewe ni Bahili!...
 
Kariport polisi, ukiwatoa 50,000 ya mafuta wanampata Huyo Dada na 1500 yako inarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…