Huyu dada kanitapeli Tsh. 1,500 siku yangu imeharibika kabisa, sina hata raha

Ulianza kwa kusema huna kitu,halafu una1500.Unadharau hela.Usilalamike hapa hiyo umempa.
 
... Utoto Raha Sana! 1500/ unaanzishia Uzi? Zimeluuma Sana?
Kweli aiseee ...maana hata kuandika kwako ni shida. Usiache kwenda shule sasa angalau umalize darasa ujifunze na kuandika.
 
Nenda kamroge asee... Hio 1500 ungeongeza 150 unapata nusu lita ya petroli bro... Misele ya maana kabisa
 
Tafuta aspirini au klorokwini gongea na k vant bwamdogo, hawezi kuzulumu hela nyingi sana hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…