Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Ucfanye hilo fumanizi utadhalilika mpige chenga mmeo kwa maneno matamu
 
maniner kwa hiyo mnafanya ibada huku unazini duh ..... mumeo ni wa ndoa au mlibebana?
 

acha uzinzi dada yangu,heshimu ndoa yako
 

Kwahiyo angekuwa anajiweza ingekuwa worth it? "Women!!!"
 
Mwanamke bora atembee na ombaomba kuliko 1.dereva taxi 2.dereva bodaboda 3.meneja wa bar/gesti..
 
mwambie ukweli mumeo atakusamehe na utakuwa umemuokoa dereva taxi pia usisahau kuacha uzinzi na unayemuita "GOD FEARING"
 


He is god fearing halafu anatembea na mke wa mtu. Tena mtu ambaye mnaabudu pamoja? Mnaabudu mungu yupi?
 
You are coward, firauni mkubwa, mshenzi wa washenzi, tapeli la mapenzi, fisi Maji, mbulu kenge, ---------
 
Dada achana na hao watu wote ulionao na ubaki na mmeo tu tubu kwa Mungu wako na usikubali kuwa ulitembea na dereva wa taxi labda ashike ushaidi wa asilimia 100 kuwa ulitembea nae. Nachotabiria kitakachotokea kwenye ndoa yako

1. Mumeo atagundua uhusiano wako na dereva
2. Atagundua uhusiano wako na mtu wako "god fearing person"
3. Utafukuzwa kurudi kwenu
4. Mtasuluhishwa kwa ndugu wa pande zote mbili za familia
5. Utajuta kuwa na uhusiano nje ya ndoa na hao wanaume wote watakukimbia
6. Jamaa atakusamehe mbele za watu waliowapatanisha lakini moyoni hatakusamehe
7. Utaishi maisha mabaya sana mpk utakuwa unapigwa kila mara hata kwa kosa dogo
8. Mmeo atazidisha kunywa pombe zaidi ya anavyokunywa sasa
9. Hutakuwa na amani wala kuaminiwa ktk ndoa yako
10. Mmeo atakunyanyasa mpk kifo kitapowatenganisha ndio utapata furaha ya maisha tena
 
mwambie ukweli mumeo atakusamehe na utakuwa umemuokoa dereva taxi pia usisahau kuacha uzinzi na unayemuita "GOD FEARING"

Hawezi kusamehewa mpk kifo wanaume tuna kinyongo sana na hakitoki
 
''Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu''
[/FONT

Makanisa yetu haya tunayoita ya kiroho yanatuelekeza kule kwenye moto
 
Kudadeki! kumbee enhhhh!
Kuna watu wana dhambi humu duniani, yaan aibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…