Dah sio kihivyo bana π π π wahuni wananichokozaga tuKing of bans π€£π€£π€£π€£
Hakikisha unaMeza panadol bro!Jf watu mnajikuza sana.
hahahahahaha like ni upendo tu kiongoziNtakuja jamaaπ€£π€£..unawatisha watu eti kwa kutoa like...haaaahaa dunia haijawahi kukosa miujiza
Thanks for this esteemed compliment.Extrovet ana IQ
Ya walimwengu kwa walimwenguπUkiwa extrovert watu wanahoji ukiwa introvert watu wanahoji [emoji276]hii dunia hii.
Jana ishu huyo,wewe angalia majukwaa anayopenda kuchangia utajua kunishukuru.Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
πππ poleeee... halafu mbona skuoni kule?π unapishana na gari ya mshahara ohoooππDah sio kihivyo bana π π π wahuni wananichokozaga tu
Hebu nidekeree bas kwa fasii nilambeπ°πππ poleeee... halafu mbona skuoni kule?π unapishana na gari ya mshahara ohoooππ
Hatimaye umeonekana mkuu! [emoji95][emoji95]Wazee niaje
Vita ya chawa ni vita ngumu sana πππ we kabebe pochi la mama bana achana na mimi!Jana ishu huyo,wewe angalia majukwaa anayopenda kuchangia utajua kunishukuru.
Nipo Man, leo wadau wamenipa "flowers" i appreciate this so much!Hatimaye umeonekana mkuu! [emoji95][emoji95]
We endelea kuringaπππHebu nidekeree bas kwa fasii nilambeπ°
Woooi!! Ili unisimangeπ€£Ubahili sina mama njoo ule mema ya nchi!π°π°π°
Kilaza Mods wameishi nae πππJana ishu huyo,wewe angalia majukwaa anayopenda kuchangia utajua kunishukuru.
Unamjua?, msipende kujihenekesha, humu wengi hatujuani mpaka tutambuane kwa majina sasa wewe unasema ni mtu mzuri je umewahi kumwona na kukaa nae.Ni mtu mzuri tu
Labda anataka kukukula kiboga, tembea ukiwa umevaa pampas za kutosha.Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Sasa Mkuu we ulijiunga JF ili kujificha? Mbona wengi tuna ndugu, marafiki, wafanyakazi wenzetu humu na tunafahamiana ila wewe kumuona to yeye akimsifu Extrovert unaona anahenyeka kweli humu ndani tunatofautiana.Unamjua?, msipende kujihenekesha, humu wengi hatujuani mpaka tutambuane kwa majina sasa wewe unasema ni mtu mzuri je umewahi kumwona na kukaa nae.