muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kama kweli wameshiriki kuruhusu kuchafuliwa kwa Mbowe hakika wamefanya vibaya sana na credibility ya mtandao huu itashuka ghafla. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kukubaliana na ujinga wa namna hii.Leo wameachia story ya Mbowe kutoka na Wema kutrend siku nzima!Watu wamejadili,Mbowe kadhalilishwa wakiwa wanaangalia tu!
Muda mfupi uliopita nimekuja na Mada yenye kutoa ushahidi kuwa maongezi yale yamekuwa staged!Niliambatanisha video kuback up hoja yangu,cha ajabu JF mods wameuondoa uzi huo!
Naona kazi yao ya kuruhusu Mbowe achafuliwe imekamilika,sasa kila uzi unaohusu suala hilo wanaufuta!!!
Mbona hawakuufuta uzi huo toka asubuhi?Iweje watoe platform kumchafua ila wazuie watu wanapokuja na ushahidi kuwa kitu kile kimekuwa staged?
Shame on you Moderator
Wangeacha basi ushahidi utolewe ili ku balance story huo ukweli unaujua wewe tu au ndiye uliyetengeneza hiyo audioile audio ya Mbowe na Wema ni ya ukweli kabisa ndio maana mods hawakuutoa ule uzi achene upuuzi nyie
pesa ya ruzuku ya chama Mbowe anampandisha ndege Wema kwenda kuchepuka.....halafu nyie mnashangilia nyie watu ni wakuhurumia sanaUMnajitekenya na kucheka wenyewe,mnastage maongezi ili kushusha heshima ya CDM!Hamtofanikiwa,namna pekee ya kuwin mioyo ya watanzania ni kutimiza ahadi zenu za uchaguzi na si kuchafua upinzani!
Kwani huo ni upuuzi jombaa?Hiyo si live? Mbowe huwezi fanya ule upuuzi
toka asubuhi hakuna ushahidi wa maana Zaidi ya maneno matupu tu Mbowe ameumbuka aachie ngazi mara mojaWangeacha basi ushahidi utolewe ili ku balance story huo ukweli unaujua wewe tu au ndiye uliyetengeneza hiyo audio
Hahahahaa,hamna hoja sasa mmebaki kuwaframe watu!pesa ya ruzuku ya chama Mbowe anampandisha ndege Wema kwenda kuchepuka.....halafu nyie mnashangilia nyie watu ni wakuhurumia sana
Labda Bashite kawatembelea na kuwaahidi kuwa kesi ya Max atamwambia chief waifute!Wamepewa hela nini nao hawa mods.
Akiwa Rais ndio upuuzi wake hauwekwi hadharaniKuna tofauti mkuu. Magu ni president wakati Mbowe ni mpiga madili.
Rudi kalale,by the way una taarifa Anna ni RC kili!Endeleeni kusugua benchBawacha bana
Rudi ujitetee,nime update uzi!toka asubuhi hakuna ushahidi wa maana Zaidi ya maneno matupu tu Mbowe ameumbuka aachie ngazi mara moja
Mbona povu mkuuPlease JF tunawaheshimu sana lakini hatuwezi kuvumilia mkiachia habari za kumchafua mbowe zikiendelea Ku trend hapa mtandaoni.