Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Hahahahahaah wewe Jamaa huna akili Kabisa dah, eti vita yake anapiganiwa! Dah yeye Yuko busy Kula life. Sijawahi mkuta jamaa amepunzika, Yuko busy na life yake mwanzo mwishoHana baya na mtu..
Na vita yake hapigani mwenyewe... Anapiganiwa😄
Toa location MpwaLeo mchana hii kitu itahusika
Hahaha. Asali nakula ila si haram kiti. Mdudu hafai yule. Kiumbe anaweza donate figo kwa binadamu?Omba Sana usije ukala Kitimoto ribs ya asali
A & B are correct answersSwala ni figo au imetoka kwa nani...?
Hahahahaha....location ziko mbiliToa location Mpwa
Hatujambo Kabisa Maalim, KARIBU futariNdugu zangu katika Iman.......hamjambo
Hahaha hayaHahahahaha....location ziko mbili
1. Kinondoni maeneo ya V ways
2. Contena kwa Rasta
Si ndiyo yeye yupo busy na yake...Hahahahahaah wewe Jamaa huna akili Kabisa dah, eti vita yake anapiganiwa! Dah yeye Yuko busy Kula life. Sijawahi mkuta jamaa amepunzika, Yuko busy na life yake mwanzo mwisho
Hahahaha...bebi geloSi ndiyo yeye yupo busy na yake...
Ila ana wafuasi mob....Ukijichanganya kumgusa tu...Hawakuachia....
Halafu....Mimi siyo jamaa bhana....Mimi ni bebi gelo😅
Pamoja sana kiongozi! HAKUNA baya, KARIBU Ribs iliyoandaliwa kwa asali Leo mchana pale RiversideHalafu....Mimi siyo jamaa bhana....Mimi ni bebi gelo😅
Ndiyooo....Hahahaha...bebi gelo
Ulimuonaje lakini ile ladhaNikiwa na njaa sanaaa lakini. Tangu kuzaliwa nimemla mara moja tu bila kujua. Alikuwa kakaushwa vizuriii na ndizi tupo watu wengi. Nimekula finyango kadhaa ndo nashtuka kumbe ni chair?
Havina uhusiano Ndugu yangu, tuache usitukatishe tamaaJe ! Ndugu zetu wanaomwita haramu watakubali kuwekewa?
Kama wakikubali ,je! anaweza kwenda kuswali akiwa na kiungo Cha mdudu? Maana nasikia wao huswali na Yaleadude ambayo akina mwamposa wanapambana nayo ana ambayo wakihisi sehemu Kuna hata mfupa wa mdudu huwa wanakimbia.sasa si watazuia haki ya kuabudu kwa maruhani?
Ahsante Kiongozi....Nitakaribia...Pamoja sana kiongozi! HAKUNA baya, KARIBU Ribs iliyoandaliwa kwa asali Leo mchana pale Riverside
Hahahahaha...wewe tena ..mwenyewe mwenyewe..Ndiyooo....
Bebi gelo mayai🤣🤣🤣
Haya nimeku-follow kabisa for faza detailsNdiyooo....
Bebi gelo mayai🤣🤣🤣
Haikuwa mbaya, ilikuwa tamu tu, pia haikuwa na ile harufu ya kitimoto ndo maana sikujua.Ulimuonaje lakini ile ladha
Hahahahaha..mahali gani hapo..bebi gelo mayai..tukapatembeleeAhsante Kiongozi....Nitakaribia...
Kuna hiyo moja nailaga mahali...😋😋😋😋Aaawwww