Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Haya yote ameyataka Mhe. Lissu kwaajili ya kutaka kwake kugombea nafasi ya Mwenyekiti wetu

Ila in serious note, Mhe. Mbowe amepanic sana kwenye huu Uchaguzi

Hakutegemea kama Lissu angefahamu mchezo wake katika stage ile
Mbowe alicheza mchezo wa kitoto sana, Mtu anaetuhumiwa kwa Rushwa ndo unaenda kumtuma akam chalenge Lissu
 
Hakuna tabia mbaya ambayo sikuipenda Kama wasaidizi wa Raisi hayati kuadhibu kila alie saidia wapinzani.

Kulikua na ubaya gani kwa huyo DACTARI na hata huyo mkurugenzi wa uwanja wa ndegee...

Ukichagua upinzani hatukuletei maendeleo ni mawazo ya kijima Sanaa na maneno ya chuki kubwa Sanaa kupata kutokea Tanzania.
 
Haya yote ameyataka Mhe. Lissu kwaajili ya kutaka kwake kugombea nafasi ya Mwenyekiti wetu

Ila in serious note, Mhe. Mbowe amepanic sana kwenye huu Uchaguzi

Hakutegemea kama Lissu angefahamu mchezo wake katika stage ile
SIFA kubwa ya mbowe ni kuangalia maslahi ya muda mrefu wakati huo nyie mpo busy na sasa. Mbowe alipogundua Zito ni threat in the near future ….akamtengenezea zengwe… akaliwa kichwa.

Alipogundua Slaa nae ni potential threat , akampokea Edo alijua slaaa hatokubali.na kweli Slaa akaacha chama.

Alipogundua speed ya Lissu inakuja kwa kasi…. Akaona njia ni kumtoa umakamu. Wakat huo anamwambia lisu uenyekiti usigombee anaandaa watu kushika umakamu. That is how he is …. And I believe pale Dodoma mbowe alitama Lissu atembee mazima yaani Afe mana alishaona speed ya lissu.

Ni Ngumu au haiwezekan kusema Lissu ni Msaliti….. how

In truth , Mbowe sio Mpinzani….Mbowe ni Opportunitist na ndio idea ya maneno ya maridhiano. Biashara nyingi za Mbowe hazipo RASMI kama ilivyo kwa Mengi au Bakhresa….hivyo Mbowe akiwa too tense kwenye siasa… serikali inaenda kutekenya TRA….. haonekani kwenye Kodi halaf akaunt inasoma billions….. unatoa wapi hela ?

Business nyingi za Mbowe ni Magendo hivyo ni lazima awe Opportunitist ( Maridhiano) ambayo yatabalance maslahi yake.

Lissu ni Mpinzani wa kweli na hana Makando amenyooka kama ruler …. Serikali haina pa kumtekenya
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.

After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi wa CCM ... that is hard truth ..... Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very composed.

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.

Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Kwenye hili napinga... Tafuteni namna ya kushindana na Mbowe
 
Muheshimiwa sana na Dactari, Hongera kwa andiko zuri;

Upumbavu wako upo hapa;

“In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi wa CCM ... that is hard truth“

Umeshindwa tambua mchango wa Mungu kwenye uhai wa mwanadamu, ni hivi: CCM walitumiwa na Mungu kuokoa Maisha ya Lisu!
 
Shida ya Mbowe anataka kufanya bila yeye Lisu angefariki kitu ambacho si kweli. Ni kama anaonyesha amemuokoa Lisu ili aje agombee nafasi yake ama? Kwa maneno marahisi ni kama anajuta kwanini hakumuacha afe ili asije kumsumbua
Sema kwa sasa hatuna waaandishi wa habaeri smart

Walipaswa kumuuliza Mbowe alimuokoa vipi Lissu?

Activity nyingi za kumuokoa Lissu zilifanywa na viongozi wa Serikali….. he was there just for update what was going on basi. Hamna alichofanya

Na hata kule Theater aliyeongoza team ya theater ni Ulisubisya na zile Injection zilikuwa zinachomwa kwa usimamizi wake

Otherwise simu zingeweza kupigwa tu wamu overdose na Diazepam au any muscle Relaxant jamaa atoe povu apotee

Kama tukiingiza ubinadamu….. Maisha ya Lissu yalikuwa chini ya Ulisubisya
 
SIFA kubwa ya mbowe ni kuangalia maslahi ya muda mrefu wakati huo nyie mpo busy na sasa. Mbowe alipogundua Zito ni threat in the near future ….akamtengenezea zengwe… akaliwa kichwa.

Alipogundua Slaa nae ni potential threat , akampokea Edo alijua slaaa hatokubali.na kweli Slaa akaacha chama.

Alipogundua speed ya Lissu inakuja kwa kasi…. Akaona njia ni kumtoa umakamu. Wakat huo anamwambia lisu uenyekiti usigombee anaandaa watu kushika umakamu. That is how he is …. And I believe pale Dodoma mbowe alitama Lissu atembee mazima yaani Afe mana alishaona speed ya lissu.

Ni Ngumu au haiwezekan kusema Lissu ni Msaliti….. how

In truth , Mbowe sio Mpinzani….Mbowe ni Opportunitist na ndio idea ya maneno ya maridhiano. Biashara nyingi za Mbowe hazipo RASMI kama ilivyo kwa Mengi au Bakhresa….hivyo Mbowe akiwa too tense kwenye siasa… serikali inaenda kutekenya TRA….. haonekani kwenye Kodi halaf akaunt inasoma billions….. unatoa wapi hela ?

Business nyingi za Mbowe ni Magendo hivyo ni lazima awe Opportunitist ( Maridhiano) ambayo yatabalance maslahi yake.

Lissu ni Mpinzani wa kweli na hana Makando amenyooka kama ruler …. Serikali haina pa kumtekenya
Nakubaliana na wewe Mkuu

Ndiyo maana Juzi akiwa uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, Lissu alisema kitu cha namna hiyo

Kwamba tunahubiri kuhusu Fulani ni mfanyabiashara Mkubwa, lakini anafanya biashara gani isiyo na TIN, leseni, Wala anwani ya makazi

Kwa kweli Mbowe, safari hii hata kama atashinda lakini Chama chake kinaenda kupoteza credibility Kwa Wananchi
 
Muheshimiwa sana na Dactari, Hongera kwa andiko zuri;

Upumbavu wako upo hapa;

“In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi wa CCM ... that is hard truth“

Umeshindwa tambua mchango wa Mungu kwenye uhai wa mwanadamu, ni hivi: CCM walitumiwa na Mungu kuokoa Maisha ya Lisu!
🤣 mimi nazungumza kidunia
Mambo ya Mungu baki nayo please . Kwa sababu hiyo ni personal opinion kwenye ishu ya iman

Wa Tanzania mjifunze kuwa na akili…. Faith is something personal …… unatakiwa kuelewa mambo kwenye vibration ya juu sio chini
 
Mimi ni mchaga lakini mbowe ametudhalilisha sana wachaga haiwezekani kulialia na kukumbushia msaada uliompa mtu kisa tu anataka nafasi yako has if huo msaada ulikua deni hakujifunza hata kwa mzee mengi amesaidia wengi lakini hakuwahi kuwahikumu hata wale waliozuia maslahi yake? Huyu mbowe mshamba sana kwa mwendo huu ni mbora nirudi ccm tu
Huo msaada ni Upi!

Natamanj a mention alitoa msaada gani kuokoa maisha ya Lissu

Wakati tukio linatokea Doodoma. Two siku mbili kabla nilienda kuonana na Mpoki alipaswa kusaini Doc zangu, ki muundoa wa wizara yeye alikuwa Boss wqngu

Hivyo the whole saga linatokea mimi nipo Dodoma na nilikuwa Hospital

Mbowe aseme alitoa msaada gani exactly ?
 
Back
Top Bottom