Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.

After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very composed.

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.

N Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Unahangaika sana, mwanzo mlisema ni Mungu ndiyo amemuokoa mara leo sijui Dr nani, all in all Lissu aliwahishwa Nairobi ili wale 'wasiojulikana' baada kushindwa kummaliza palepale wasipate chance ya kummalizia hospitali. Nyinyi wapuuzi wa TISS mnajifanya ni spin masters but we ain't fools, we can read y'all motherfvckers.
Hizo longolongo zako za kitoto take them somewhere else, hakuna mjinga wa kuzugwa kitoto namna hiyo.
It's like mnahaha this time around sijui ndiyo kulinda 'legacy' au mnahisi mhanga wa shambulio lile(Lissu) akichukua uenyekiti wa CHADEMA atalivalia njuga na kutaka kujua kwanini polisi wamegoma kufanya upelelezi?
 
Unahangaika sana, mwanzo mlisema ni Mungu ndiyo amemuokoa mara leo sijui Dr nani, all in all Lissu aliwahishwa Nairobi ili wale 'wasiojulikana' baada kushindwa kummaliza palepale wasipate chance ya kummalizia hospitali. Nyinyi wapuuzi wa TISS mnajifanya ni spin masters but we ain't fools, we can read y'all motherfvckers.
Hizo longolongo zako za kitoto take them somewhere else, hakuna mjinga wa kuzugwa kitoto namna hiyo.
It's like mnahaha this time around sijui ndiyo kulinda 'legacy' au mnahisi mhanga wa shambulio lile(Lissu) akichukua uenyekiti wa CHADEMA atalivalia njuga na kutaka kujua kwanini polisi wamegoma kufanya upelelezi?
Hizi ni Story za Corridoni

Wala hakuna TISS hapa. Wa bongo mmezoea udaku. Eti aliwahishwa huko ili asimalizwe na wasiojulikana. Hizi ni story za mbowe niliwahi kumsikia akisema nilimpeleka lisu uko ili wasimuue 🤣

Mbowe ni tapeli sana
 
Mleta mada alikuwa hospitali na Lissu ndio maana anajua kila kitu.

Alifika wa kwanza kuhakikisha anapewa huduma sahihi, alifanya mipango ya kutafuta hospitali Nairobi kwa usalama wake (yeye ndio alitoa wazo Lissu asitibiwe hospitali ya Dodoma akiwa stable), ndege ya kumpeleka Nairobi aliitafuta yeye, Nairobi alimsindikiza yeye njia nzima kanyanyua mikono kushika chupa za damu alizokuwa anawekewa Lissu na siku hiyo pia nguo zote na yeye zilijaa damu kama Mbowe.

Tuwe na Shukran
Kushika chupa ya Dam ndio kuokoa maisha ya mtu. Hata ww ungeweza kushika si ni ndio ?
 
Ndio maana nampenda sana SAMIA.
Kwa gharama nitamlinda.
Mungu Ibariki Tanzania.
Lakini akataka kumwangamiza Mbowe akampa kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo au kiungo cha maisha. Akabumba ushahidi akamlambisha asali na sasa wamejiunga kumpinga Lissu pamoja.

Nyoka sana huyu mama
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Kwenye swala la kutetea uhai wa lisu kafika lile sakata kuna m hango wa mbowe.
 
Sioni haja ya kutaka kujua mchango wa nani na nani kwenye hilo hiyo nguvu tuitumie kujua ni nani walitaka kumuua TAL na tuwapeleke mikononi mwa sheria....

Badala ya kudai tumeokoa maisha ya fulani tuhangaike na wale ambao hatujui kama maisha yao tumeyaokoa au la! kama kina Ben, Soka , Azory nk....

Hao kina FAM na TAL watayamaliza baada ya uchaguzi wao
 
Back
Top Bottom