Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ndiyo umemaliza?Kwa hiyo kikongwe anateuliwa kuwa katibu wa watoto?Inaleta maana na mlinganyo sahili kweli?Katibu Mkuu wa UVCCM na makatibu wengine wa CCM ni waajiriwa(wanateuliwa). Sio viongozi wanaotokana na kuchaguliwa. Umri sio Kigezo cha kuzingatia kuteuliwa.
mpira ushaisha mkuuNitakuja kukujibu kwa ufupi ngoja nimalize kuangalia mpira wa yanga.
Hayo mambo mengine nenda pale Lumumba ukapate ufafanuzi.Ndiyo umemaliza?Kwa hiyo kikongwe anateuliwa kuwa katibu wa watoto?Inaleta maana na mlinganyo sahili kweli?
Nimeona Tayari majibu yameshatolewa. Kwa ufupi ni kuwa makatibu wote wa UVccm kuanzia ngazi za wilaya mpaka Taifa ni waajiriwa na wanalipwa kwa kazi hiyo. Lakini ni lazima wawe Wana CCM. Ndio maana mtu anaweza kutolewa Arusha akapelekwa mbeya kuwa katibu ngazi wa mkoa UVccm.mpira ushaisha mkuu
Basi usiwe una kiherehere cha kujibujibu mambo ambayo hauyajui unategemea Lumumba wakusaidie kujibu.Nyogulefu!Hayo mambo mengine nenda pale Lumumba ukapate ufafanuzi.
1. Specifically wewe sie uliyeuliza swali la msingi nililojibu.Basi usiwe una kiherehere cha kujibujibu mambo ambayo hauyajui unategemea Lumumba wakusaidie kujibu.Nyogulefu!
Hayati Mzee Rashid Mfaume Kawawa kafariki akiwa Kamanda wa UV CCM Taifa akiwa na miaka zaid ya 80Kwamba hata John Malecela anaweza kuwa Katibu wa UVCCM , na kwamba atakaposoma risala ya umoja huo mbele ya Mh Samia ataanza na neno "sisi vijana tunaunga mkono uwekezaji wa bandari" ?
Heshima ikute nyumbani kwenu.Kwa nini unajibu usiyoyajua?Nina id nyingi.Ndiye niliyeuliza mwanzo.Unasemaje?1. Specifically wewe sie uliyeuliza swali la msingi nililojibu.
2. Jifunze kuwa kuheshimu watu.
Wasomi wa Uchumi na diplomasia wanasugua soli za Viatu wakati huo huo kama Taifa tumemtuma Mwijaku Ufaransa kuvutia uwekezajiHii ndio Tanzania, M/Kiti wa Watu Wenye VVU ye hana.
Basi itapendeza zaidi wamteue mzee Wasira kuwa katibu mkuu wa UVCCM.Katibu Mkuu wa UVCCM na makatibu wengine wa CCM ni waajiriwa(wanateuliwa). Sio viongozi wanaotokana na kuchaguliwa. Umri sio Kigezo cha kuzingatia kuteuliwa.
Mbona huyu jamaa ni Under18 kabisaππNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Mbowe amesema chama kitashiriki uchaguzi serikali za mitaa jitahidi kwa muda huu uliobaki kujika kwenye mambo muhimu kuhusu chama chako chadema!Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Uvccm ni wahuni tuKatibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu πππ₯
sawa mkuu nmkupataNimeona Tayari majibu yameshatolewa. Kwa ufupi ni kuwa makatibu wote wa UVccm kuanzia ngazi za wilaya mpaka Taifa ni waajiriwa na wanalipwa kwa kazi hiyo. Lakini ni lazima wawe Wana CCM. Ndio maana mtu anaweza kutolewa Arusha akapelekwa mbeya kuwa katibu ngazi wa mkoa UVccm.
52Kwani yuvisisiemu mwisho kugombea na kuchaguliwa ni miaka mingapi?
Lukasi mwashamba ,faki ni mwalimu wako wa language 2 ivumwe au nakoseaNitakuja kukujibu kwa ufupi ngoja nimalize kuangalia mpira wa yanga.
πππππHii ndio Tanzania, M/Kiti wa Watu Wenye VVU ye hana.