Investigation Unit
JF-Expert Member
- Nov 26, 2023
- 216
- 301
- Thread starter
-
- #121
Ile pale ni Madhabahu yaani lango la malaika ndio maana watu wanasafiri wanakwenda pale,Sasa kama ishu ni inani yake kwa Mungu kwa nini watu wasiombe wenyewe majumbani hadi waende kwa Mwamposa? Hivi mtu ambaye sio mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa utamwambia ainue imani yake kvp ili aweze kufanikiwa shida zake kupitia hiyo miujiza ya Mwamposa?
Hivi kwa nini kunakuwa na ushuhuda?
Sasa watu wanavutiwa na hizo shuhuda(matangazo) na katika hizo shuhuda hakuna anayeeleza kwamba ilimchukua muda mrefu kujibiwa maombi yake, wote wamefanikiwa kwa muda mfupi.Muda wa Majibu yake bado haujafika Mungu lazima akutengeneze vizuri hasa maswala kama ya Utajiri na vyeo vikubwa lazima uwe-shaped,
Iko siku utamuona kwa tofauti sana,
Hata hivyo anapashwa kuweka imani kwa Mungu sio kwa Mwamposa
Sasa mtu ambaye si mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa je atainua vp imani yake? Maana kilichomleta ni miujiza tu na si imani kwa Mungu wa Mwamposa.Ile pale ni Madhabahu yaani lango la malaika ndio maana watu wanasafiri wanakwenda pale,
Mwamposa ni kiongozi wa kusimamia na kuratibu kazi za lile lango,
Hivyo kwenda kuabudu au kukiunganisha pale ni muhimu sana
New Africa Hotel...... 😀Du amewashika kweli kweli wajingaView attachment 2849728
Biblia inasema wakamshinda shetani kwa neno la USHUHUDAHivi kwa nini kunakuwa na ushuhuda?
Hata Yesu kilichomfanya wamwamini kama yeye ni mwana wa Mungu ni ishara na miujiza aliyoifanya ,Sasa mtu ambaye si mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa je atainua vp imani yake? Maana kilichomleta ni miujiza tu na si imani kwa Mungu wa Mwamposa.
Mimi pia nataka wale wote wanaoniandama waangamizweMimi sio Mkristu ila Jumapili asubuhi Insha'allah nitafika hapo Kawe asubuhi
Na wataangamia kwelikweli,Mimi pia nataka wale wote wanaoniandama waangamizwe
Nitaenda jumapili nikijaaliwa na Mungu 🙏👍
Ngoja Tusubiri tuone wanaojifanya wao hawawezekani 🙏
Ninacho jua Mimi ni kwamba Boniface Mwamposa ndiye mungu halisi kwa hao wanategemea miujiza ya kumbewa na huyo mungu Mwamposa!View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655
Habari Tanzania,
Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.
Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.
Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,
Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "
Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,
Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,
Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,
Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,
Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.
Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====
Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.
Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117
You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania
Instagram: Arise & shine Tanzania
Hapana Mimi ni mfuasi tu wa Mwamposa natamani na wenzangu mfunguliwe kutoka kwenye vifungo vyenu mbalimbaliMleta mada,wewe si mwamposa kweli unanadi biashara yako! eti nenda katazame azam tv,sijui youtube. si ungejitambulisha tukakufahamu tu ndg yangu.BIASHARA MATANGAZO hili nalo ni tangazo la biashara ya mwamposa.
#kazi kweli kweli# job true true...!
Húu sio utaratibu wa Mungu,Mkuu Kuna wagonjwa huko hospital na vichaa huko sober house Kama huyo muigiza michezo jukwaani kweli anaponya mwambie akawaponye hao.
Baba mtumishi nilinunua mafuta nikamwaga kwenye waya za umeme sahivi mungu was mwamposa ananiponya mwenzangu umeme ukikatika kwangu unawaka aposto.
Nitakuwepo kwenye mkesha tarehe 31 sikosi, Mungu nipatie nauli ya kufika Kawe Mimi ninayeamini nguvu zakoView attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655
Habari Tanzania,
Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.
Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.
Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,
Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "
Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,
Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,
Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,
Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,
Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.
Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====
Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.
Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117
You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania
Instagram: Arise & shine Tanzania
Wajinga ndio waiwaoDu amewashika kweli kweli wajingaView attachment 2849728
Huenda mjinga ukawa ni wewe unayeteseka na magonjwa, Umasikini na shida mbalimbali na unajifanya mwamba,Wajinga ndio waiwao
Kazi kweli, kesho ni keki pale Kawe karibuni sanaDuh aiseee