Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

Sasa kama ishu ni inani yake kwa Mungu kwa nini watu wasiombe wenyewe majumbani hadi waende kwa Mwamposa? Hivi mtu ambaye sio mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa utamwambia ainue imani yake kvp ili aweze kufanikiwa shida zake kupitia hiyo miujiza ya Mwamposa?
Ile pale ni Madhabahu yaani lango la malaika ndio maana watu wanasafiri wanakwenda pale,

Mwamposa ni kiongozi wa kusimamia na kuratibu kazi za lile lango,

Hivyo kwenda kuabudu au kukiunganisha pale ni muhimu sana
 
Muda wa Majibu yake bado haujafika Mungu lazima akutengeneze vizuri hasa maswala kama ya Utajiri na vyeo vikubwa lazima uwe-shaped,

Iko siku utamuona kwa tofauti sana,

Hata hivyo anapashwa kuweka imani kwa Mungu sio kwa Mwamposa
Sasa watu wanavutiwa na hizo shuhuda(matangazo) na katika hizo shuhuda hakuna anayeeleza kwamba ilimchukua muda mrefu kujibiwa maombi yake, wote wamefanikiwa kwa muda mfupi.

Unaposema waweke imani kwa Mungu na si kwa Mwamposa wakati Mwamposa anajitangaza zaidi ya huyo Mungu unakuwa unashangaza, watu Mungu wanamjua na wanajua kuwa anataka wamuombe yeye sasa unafikiri kwa nini wanaenda kwa Mwamposa?
 
Ile pale ni Madhabahu yaani lango la malaika ndio maana watu wanasafiri wanakwenda pale,

Mwamposa ni kiongozi wa kusimamia na kuratibu kazi za lile lango,

Hivyo kwenda kuabudu au kukiunganisha pale ni muhimu sana
Sasa mtu ambaye si mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa je atainua vp imani yake? Maana kilichomleta ni miujiza tu na si imani kwa Mungu wa Mwamposa.
 
Sasa mtu ambaye si mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa je atainua vp imani yake? Maana kilichomleta ni miujiza tu na si imani kwa Mungu wa Mwamposa.
Hata Yesu kilichomfanya wamwamini kama yeye ni mwana wa Mungu ni ishara na miujiza aliyoifanya ,

Kama Kanisa halina ishara Wala miujiza jua kabisa hiyo ni Club tu,

Mungu wetu ni Mungu wa udhihirisho,

Huwa hakai kimya tangu enzi za Elia, Elisha hata sasa,

Kanisa la kutoa sadaka na kuondoka hiyo ni Club tu au kikoba,
 
Mimi sio Mkristu ila Jumapili asubuhi Insha'allah nitafika hapo Kawe asubuhi
Mimi pia nataka wale wote wanaoniandama waangamizwe
Nitaenda jumapili nikijaaliwa na Mungu 🙏👍

Ngoja Tusubiri tuone wanaojifanya wao hawawezekani 🙏
 
Mleta mada,wewe si mwamposa kweli unanadi biashara yako! eti nenda katazame azam tv,sijui youtube. si ungejitambulisha tukakufahamu tu ndg yangu.BIASHARA MATANGAZO hili nalo ni tangazo la biashara ya mwamposa.
#kazi kweli kweli# job true true...!
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,

Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.


Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117

You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Ninacho jua Mimi ni kwamba Boniface Mwamposa ndiye mungu halisi kwa hao wanategemea miujiza ya kumbewa na huyo mungu Mwamposa!
 
Mkuu Kuna wagonjwa huko hospital na vichaa huko sober house Kama huyo muigiza michezo jukwaani kweli anaponya mwambie akawaponye hao.
Baba mtumishi nilinunua mafuta nikamwaga kwenye waya za umeme sahivi mungu was mwamposa ananiponya mwenzangu umeme ukikatika kwangu unawaka aposto.
 
Mleta mada,wewe si mwamposa kweli unanadi biashara yako! eti nenda katazame azam tv,sijui youtube. si ungejitambulisha tukakufahamu tu ndg yangu.BIASHARA MATANGAZO hili nalo ni tangazo la biashara ya mwamposa.
#kazi kweli kweli# job true true...!
Hapana Mimi ni mfuasi tu wa Mwamposa natamani na wenzangu mfunguliwe kutoka kwenye vifungo vyenu mbalimbali
 
Mkuu Kuna wagonjwa huko hospital na vichaa huko sober house Kama huyo muigiza michezo jukwaani kweli anaponya mwambie akawaponye hao.
Baba mtumishi nilinunua mafuta nikamwaga kwenye waya za umeme sahivi mungu was mwamposa ananiponya mwenzangu umeme ukikatika kwangu unawaka aposto.
Húu sio utaratibu wa Mungu,

Watoeni muwapeleke wote watapona,

Imani ni kumtafuta Mungu,
Kutoka Hospitali mpka Kawe ni kitendo Cha imani lazima apone
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,

Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.


Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117

You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Nitakuwepo kwenye mkesha tarehe 31 sikosi, Mungu nipatie nauli ya kufika Kawe Mimi ninayeamini nguvu zako
 
Back
Top Bottom