1. Tofautisha nguo za watumishi wa Mungu wakiwamo wachungaji, waimbaji kwaya nk na Madera:
View attachment 2958402
2. Pamoja na kuwa miye siyo hao ambao ungependa niwe, nisiache kukumbusha mgogoro wa Gaza ni wa koutawala na si kidini.
View attachment 2958404
3. Unayo credibility ipi mburula wewe kujidhania kuwa na ujuzi wewe zaidi ya kina Mandela?
4
matunduizi nakuletea brain-washee mwingine huyo ongezea kwenye database:
'e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.
f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.'