Huyu imam aweka sawa kuhusu ardhi ya Wayahudi, hivi waarabu wa Bongo mnakwama wapi

Huyu imam aweka sawa kuhusu ardhi ya Wayahudi, hivi waarabu wa Bongo mnakwama wapi

Mui
Wakiristo ndio wanaomini maneno ya mapadri ndio maana wakiambiwa waingie kwenye tanuri wachomwe wakapate uzima wanaingia, wasile miezi 4 hawali mwisho wanakufa kama mzige. Upuuzi huo ktk uislam haupo..muislam anaangalia Quran na mtume kasema nini. Sio sheikh kasema. Kuna Wakiristo wanavaa makanzu kujifanya masheikh kumbe wako hapo kwa ajili ya ukiristo
Ukristo ni mkubwa sana, ndani yake una branches nyingi. Huwezi jumuisha wakristo wote under branch moja or ka unit ukasema wote wako hivyo

And for the record hata uislam una madudu, wanakuwa brain washed na kujilipua maeneo mbali mbali wale ni dini gani? Je waislam wote wanajilipua nope
 
Possibly anaongea hivyo simply nchi anakosemea hayo kwa sasa wako wachache. As they increase to become majority like in Mali, Mauritania, Niger, Burkina Faso, etc. lugha haitakuwa hiyo.
Kweli usemalo.
Lakini asemalo pia lina ukweli isipokuwa wayahudi pia walilipata eneo hilo kupitia Abraham mgeni toka maeneo ya Babeli au Mesopotamia (Iraq ya Sasa).
Kiasili haikuwa ardhi yao.
Wakaipoteza walipoenda kuishi Misri kisha wakarudi kuichukua kwa mabavu na Joshua kwa maelekezo ya Mose.
 
Waislamu ni Makafir wa Kwanza kwa matendo yetu.... Wauaji wakubwa sana wasio na huruma ni waisilamu. Wakianzia na Muhamad mwenyewe alikuwa jangili akivamia watu kupora mali zao.

1. Bila kuyatambua, kuyatofautisha na kuyatendea haki makundi haya (na hasa kama ni mmoja wao):

'e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.'

Tutakuwa Bado tupo tupo sana!
2. Utatambua vipi idadi ya watu waliokufa kwenye kumpigania Mungu?

3. Kwani waliokuwa wakifa kwa jina la mwenyezi Mungu kuanzia Abeli, pita Sodoma na Gomorrah, kina Samson, Golliath, vita vya kina David, vimbwanga vya kina Herode nk walikuwa wanauliwa na waislam?
 
Ukristo ni mkubwa sana, ndani yake una branches nyingi. Huwezi jumuisha wakristo wote under branch moja or ka unit ukasema wote wako hivyo

And for the record hata uislam una madudu, wanakuwa brain washed na kujilipua maeneo mbali mbali wale ni dini gani? Je waislam wote wanajilipua nope

Bila shaka hali kadhalika na uislam? Au siko sahihi ndugu?
 
Mui
Wakiristo ndio wanaomini maneno ya mapadri ndio maana wakiambiwa waingie kwenye tanuri wachomwe wakapate uzima wanaingia, wasile miezi 4 hawali mwisho wanakufa kama mzige. Upuuzi huo ktk uislam haupo..muislam anaangalia Quran na mtume kasema nini. Sio sheikh kasema. Kuna Wakiristo wanavaa makanzu kujifanya masheikh kumbe wako hapo kwa ajili ya ukiristo
pumbavu
 
Vita vya dunia vyote waliopigana ni nchi za kikiristo vs Cristian. Japan iliripotiwa na Cristian country. Unabisha?
 
Mtoto akizaliwa anakua muislam. Akipata akili ndio anachagua anaenda kwenye ukafiri au anabaki ktk nuru yaani uislam.
ndio mlivyofundishwa hivyo? Sasa kama akienda kwenye ukafiri kuna ubaya gani mpaka achukiwe?
 
1. Kumbe hawa wanaburuza nini ili wafanane na nani ndugu?

View attachment 2958407

2. Angalizo, una uhakika mada zako hizi uchwara zisizokuwa na mashiko, Moderators, Invisible au wale wengine wamezi idhinisha kukidhi vigezo?

3. Kwa hakika unaishusha sana hadhi ya jukwaa kuwa hata chini ya Facebook huko.

Halafu wengi wenu hizo dera hamzifui, hehehe
 
Shekhe amewatrigger Mashabiki wa Hamas 😆🤣😂

Ukweli kabisa Ajenda ya Uisilamu ni kufuta Historia ndio maana wanasema Adam alikuwa Mwislam Hawa alikuwa Mwislam.

Hata Story za Mongols General Hulagu kuichoma Baghdad zinafichwa sana.

Wanakwambia Mussa alikuwa muislam Issa alikuwa muislam Historia inaanzia Hijria.

Wamezulumu Nchi nyingi lakini Spain na Israel zimefight back.
 
Halafu wengi wenu hizo dera hamzifui, hehehe

IMG_20240409_121238.jpg
 
Back
Top Bottom