Huyu Israel Mwenda amshindia nini Kibabage? Mi Yanga sasa yanchanganya

Huyu Israel Mwenda amshindia nini Kibabage? Mi Yanga sasa yanchanganya

Tatizo unasoma bila kuelewa

Nimekuambia Simba ikikutana na rivals wenye uchumi mkubwa ndio utaona hizo tetesi.
Wachezaji wote waliosajiliwa msimu huu, taarifa zao zote zimevuja mitandaoni kabla hata ya kusainishana nao mikataba, je wachezaji wote hao Simba ilikutana na rivals wenye uchumi mkubwa?
 
Unajua naanza kuamini zile kauli za baadhi ya watu kuwa Hersi alikuwa na mamluki ndani ya Simba kwenye idara ya scouting.

Hao mamluki walikuwa wakimpenyezea Hersi taarifa mapema za wachezaji ambao Simba ilikuwa inawawinda.

Hersi naskia alikuwa anachukua ndege fasta na kuwafata hao wachezaji then Simba walikuwa wakistuka tu kuona mchezaji ambaye walikuwa kwenye mipango ya kumchukua ametambulishwa na Yanga.

Mfano Azizi Ki, huyo Yao naye alikuwa kwenye mipango ya Simba, Pacome pia nk.

Baada ya ujio wa MO hiyo scouting ikavunjwa na wachezaji wote waliohitajika taarifa zilikuwa zinamfikia direct MO.

Kwa hiyo kukawa hakuna loop holes tena kwa Hersi kupata info za wachezaji. So kuanzia hapo ni juhudi zake mwenyewe.

Na ndio maana ni kama amekuwa hana umakini kwenye kusajili wachezaji kwasababu waliokuwa wanamsaidia kupata wachezaji wazuri hawapo.

Hersi anaishia kuchukua rejected players ambao wote tunajua mwisho wao ni kuvunjiwa mikataba kiholela na mfuatano wa kesi za CAS kuhusu ukiukwaji wa masharti kwenye kuvunja mikataba

Hersi anampa wakati mgumu mwanasheria wa Club kwa hizi sajili anazozifanya saizi. Nasema ni Hersi kwasababu wote tunafahamu kuwa huu usajili haujafanywa na kocha.
Kama ni hivyo mbona Simba kwenye usajili wa dirisha kubwa wame endelea kupuyanga?
Debora aliyeonekana kama mchezaji wa maana tayari kocha amuelewi, uyo Ahua ndio kabisa mashabiki awamuelewi mmerudi kulekule kwa Kibu ndiye mnaye mtegemea atawavusha robo.
 
Aujafanywa na kocha umeufanya wewe? Uyo mwenda ni mchezaji mzuri akucheza singida kutokana na sintofahamu ya malipo yake ya usajili kutokamilishwa ivyo yanga wamemchukua baada ya makubaliano kati ya mchezaji, singida wenyewe na yanga, kwa maana iyo sio kwamba alikosa namba pale singida bali ni masuala yake ya kimkataba na singida yalikuwa ayajakaa sawa,,kwaiyo unaposema injinia alikuwa anafata wachezaji wa Simba waliotajwa mbona akumfata mutale? Mbona akumfata ahou? Mbona akumfata charabou? Hao wachezaji wenu mbona viwango vyao ni vibovu tu injinia akuwaona? Muwe na akiba ya maneno msiwe mnatembelea upepo unakoelekea!
Sasa kocha wako kamwona wapi huyo mchezaji kama alikuwa hachezi pale singida
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kama ni hivyo mbona Simba kwenye usajili wa dirisha kubwa wame endelea kupuyanga?
Debora aliyeonekana kama mchezaji wa maana tayari kocha amuelewi, uyo Ahua ndio kabisa mashabiki awamuelewi mmerudi kulekule kwa Kibu ndiye mnaye mtegemea atawavusha robo.
Simba ikiwaacha ndo utajua jinsi utopolo wanavyowahitaji...
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Napenda mbwa anaye kuwepo kwenye lindo nyumbani na siyo kuzurula, una shangaa uko mtaani anakukimbilia, hahahaa
 
Simba ikiwaacha ndo utajua jinsi utopolo wanavyowahitaji...
Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kupata nafasi ya kuanza ndani ya kikosi cha Yanga mpaka sasa.

Ata ao waliosajiliwa Yanga wakitokea Simba bado hakuna aliyefanikiwa kuanza kikosi cha kwanza cha Yanga.
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Hivi Hawa wameligwa au? Ndo takataka gan mmetuletea? Kama mmechoka kua viongoz Kwan hamuwez kuondoka bila kuiua Yanga? Mmetumwa au?
 
Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kupata nafasi ya kuanza ndani ya kikosi cha Yanga mpaka sasa.

Ata ao waliosajiliwa Yanga wakitokea Simba bado hakuna aliyefanikiwa kuanza kikosi cha kwanza cha Yanga.
Hao wa kikosi cha kwanza mlionao wana wa offer nini kwa sasa zaidi ya kubamizwa vipigo vya moto moto? Mpk kwa sasa mnahoji why Baleke asicheze..yani kutoanza kwao ni siasa tuu na aibu ya kuyalamba matapishi yenu kwa sbb wakiwa simba mlisema hawataanza kikosi cha kwanza...hivyo kwa sbb ya aibu mnawaweka bench ila ndo super sub zikiingia...
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Ninyi c wala mabaki ya simba kila siku. Aka fisi fc. Leo unqshangaa nini..
 
Huyu ni mzuri kucheza kuliko Kibababge,Kibwana na Nkane. Eng shikilia hapohapo
Ni kweli mkuu kibabange akishapitwa tu na mpinzani akiwa mbele yake anashindwa kukaba tatizo lake mwili mdogo
 
Mimi Yanga siwezi kuiombea mazuri hilo najua lakini haimannishi kuwa inapokosea siwezi kusema

Pengine nasema ili niwaone watu ambao mnaonekana kukubaliana na huu usajili ili huko mbeleni nianze kuhesabu wanafki.
Mchezaji wa Mkopo,hana kiwango kibaya,hata gharama ya mshahara wake utakuwa mdogo na haiumizi club. Ktk hili Yanga hawajakosea sababu hatokuja kuwaumiza kwenye mkataba.
 
Kwani Simba mmesajili mcheza gani wa maana ukiachana na dada Debora??
mchezaji gani pale Yanga ana takwimu bora (goals + assissts) kumzidi Ahoua? Ni kipa gani ana clean sheets nyingi zaidi NBC league? Kesi yanu na Kagoma iliishaje?
 
Unajua naanza kuamini zile kauli za baadhi ya watu kuwa Hersi alikuwa na mamluki ndani ya Simba kwenye idara ya scouting.

Hao mamluki walikuwa wakimpenyezea Hersi taarifa mapema za wachezaji ambao Simba ilikuwa inawawinda.

Hersi naskia alikuwa anachukua ndege fasta na kuwafata hao wachezaji then Simba walikuwa wakistuka tu kuona mchezaji ambaye walikuwa kwenye mipango ya kumchukua ametambulishwa na Yanga.

Mfano Azizi Ki, huyo Yao naye alikuwa kwenye mipango ya Simba, Pacome pia nk.

Baada ya ujio wa MO hiyo scouting ikavunjwa na wachezaji wote waliohitajika taarifa zilikuwa zinamfikia direct MO.

Kwa hiyo kukawa hakuna loop holes tena kwa Hersi kupata info za wachezaji. So kuanzia hapo ni juhudi zake mwenyewe.

Na ndio maana ni kama amekuwa hana umakini kwenye kusajili wachezaji kwasababu waliokuwa wanamsaidia kupata wachezaji wazuri hawapo.

Hersi anaishia kuchukua rejected players ambao wote tunajua mwisho wao ni kuvunjiwa mikataba kiholela na mfuatano wa kesi za CAS kuhusu ukiukwaji wa masharti kwenye kuvunja mikataba

Hersi anampa wakati mgumu mwanasheria wa Club kwa hizi sajili anazozifanya saizi. Nasema ni Hersi kwasababu wote tunafahamu kuwa huu usajili haujafanywa na kocha.
Sheikh wangu hili si twalijua...lakini sasa yatupasa tusimame wenyewe... Hatuwezi wategemea simba siku zote au kuanza sajili waloachwa na simba.
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-153351.png
    Screenshot_20241211-153351.png
    540 KB · Views: 2
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Timu kubwa inapoacha wachezaji ndiyo wakati wa timu ndogo kuokoteza na kuwasajili.
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-153351.png
    Screenshot_20241211-153351.png
    540 KB · Views: 2
Aujafanywa na kocha umeufanya wewe? Uyo mwenda ni mchezaji mzuri akucheza singida kutokana na sintofahamu ya malipo yake ya usajili kutokamilishwa ivyo yanga wamemchukua baada ya makubaliano kati ya mchezaji, singida wenyewe na yanga, kwa maana iyo sio kwamba alikosa namba pale singida bali ni masuala yake ya kimkataba na singida yalikuwa ayajakaa sawa,,kwaiyo unaposema injinia alikuwa anafata wachezaji wa Simba waliotajwa mbona akumfata mutale? Mbona akumfata ahou? Mbona akumfata charabou? Hao wachezaji wenu mbona viwango vyao ni vibovu tu injinia akuwaona? Muwe na akiba ya maneno msiwe mnatembelea upepo unakoelekea!
Kocha ameshirikishwa???au ndo yale yale,tunakuchukua lkn 10% ni yetu
 
Back
Top Bottom