Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Wala huyo jamaa sio mtu wa kupindisha kwa taarifa yako. Hela yake imenyooka ndio maana Magu mwenyewe hakumfanya kitu. Alex massawe mwenyewe alimuuzia nyumba zake zote pale kkoo.
Sasa ikawaje Kuringe kupeleka mabaunsa usiku wa manane na kubomoa frame za wapangaji bila kuwa na nyaraka za mahakama, kama clip inavyojieleza.
Au alipata mhemko wa pesa zake kufanya apendalo?
 
Kuringe = Jilinde (kwa Kichaga cha marangu, kilema, kirua vunjo).
 
Sasa ikawaje Kuringe kupeleka mabaunsa usiku wa manane na kubomoa frame za wapangaji bila kuwa na nyaraka za mahakama, kama clip inavyojieleza.
Au alipata mhemko wa pesa zake kufanya apendalo?
Hicho ni kitengo ndani ya kampuni wala unaweza kukuta yeye hajui na pia hizo mambo wala isikupe shida mzee ukiona hivyo kama kahusika hesabu zilishapigwa kutoka mwisho kuja mwanzo. Japo mi sio msemaji ila jamaa namjua yuko very smat
 
Hicho ni kitengo ndani ya kampuni wala unaweza kukuta yeye hajui na pia hizo mambo wala isikupe shida mzee ukiona hivyo kama kahusika hesabu zilishapigwa kutoka mwisho kuja mwanzo. Japo mi sio msemaji ila jamaa namjua yuko very smat
Hapo ndio unazidi kumu expose huyu Kuringe a.k,a Edward Mushi, kwamba anaajiri mabaunsa, hooligans. kwenda kubomoa kijinai, akiwa hana mamlaka ya kisheria?
 
Wala huyo jamaa sio mtu wa kupindisha kwa taarifa yako. Hela yake imenyooka ndio maana Magu mwenyewe hakumfanya kitu. Alex massawe mwenyewe alimuuzia nyumba zake zote pale kkoo.
Ukisha nunua nyumba za Alex Massawe,tayari wwe umesha nunua mgogoro ambao hujui utajitokeza lini,na inawez hata ikawa kesho au baada ya muda flani!!
 
Ukisha nunua nyumba za Alex Massawe,tayari wwe umesha nunua mgogoro ambao hujui utajitokeza lini,na inawez hata ikawa kesho au baada ya muda flani!!
Story. Waoga hufa kabla ya siku zao usisahau. Niliwah kununua shamba kubwa kwelikweli miaka ya mwanzo ya 2000 kwa mzee mmoja mchawi kweli kweli kule ununio kila mtu anakataa kununua kwasababu mzee ni mchawi kwamba hapatalalika. Nililamba dume. Nilikuja kugawa nikauza vipande nilipiga mpunga wa kutosha. Acha kuishi life ya watu ishi yako. Vinginevyo utabakiwa kuhesbau magorofa ya wanaume mjini na kubaki kuita watu freemason.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…