adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Mwisho wa siku watajua wenyewe.Hajalazimishwa kuoa huyo mwanamke. Atakua namna ya kuvumilia dharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa siku watajua wenyewe.Hajalazimishwa kuoa huyo mwanamke. Atakua namna ya kuvumilia dharau
Kachagua kuoa tajiri dharau haziepukiki. Akimuacha msela mwingine ataibuka maisha yataendeleaMwisho wa siku watajua wenyewe.
Nadhani nimeanza kuzeeka
Hizo busara ndg yangu lazima upate kibali kutoka kwa Mungu, material things huwachanganya wengi,hasa hawa wanaozipata kwa urahisi according to their strong network!!Ni sawa si kwa mazingira ya dharau hivyo.
Option yako ya kwanza ndio Maturity huja.
MC na familia imeanza dharau asubuhi mapema kabisa.Kuna busara hutumika kwa wenye akili sio hao.
Umewaza mbali sana mkuu, uliyosema yapo na yanafanyika.Mademu kama hawa huwa wanajilipia mahali......😄😄😄
100% sure ..Hizo busara ndg yangu lazima upate kibali kutoka kwa Mungu, material things huwachanganya wengi,hasa hawa wanaozipata kwa urahisi according to their strong network!!
kwani kapewa yeye (Msukuma) ama kapewa DeboraKama Mimi ndio huyo msukuma navikataa hivyo vitu
mahariMademu kama hawa huwa wanajilipia mahali......😄😄😄
mahari. riiiiiiiJamaa katoa mahali kweli huyo??
Ningekuwa mm ,I cannot be summoned like mangoore no never . Ningeondoka ukumbini this is disrespect of high levelUnavikataa kwani umepewe wewe, hio ni zawadi ya mke ,ila wangekua waungwana wangesema vijana wetu tunawapatia nyumba na viwanja ila walishaanza kuivunja ndoa hata kabla haijaanza , na MC ndio kanya kabisa poor choice words alikosa hekima