Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Mimi uyo MC asingeamini mana nisingenyanyuka Kwa Ujinga wake huo, Kuna MC wanajichetua sana Kiazi kweli uyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MC mwenyewe kalipwa na upande wa kikeni ndiyo maana anazarau upande wa kiumeni,yaani kesha ji position kikeni automatically!!Mimi uyo MC asingeamini mana nisingenyanyuka Kwa Ujinga wake huo, Kuna MC wanajichetua sana Kiazi kweli uyo
😂😂 akili nyingiMimi mke wangu hata apewe ndege, lazima awe chini yangu tu.. Akileta jeuri hizo Mali nitamtapeli na ndoa itakufa. Huwa sipendi dharau
Mc kazingua alafu mbona kama dr cheni?Hahaha clip ya jamaa(classmate) yangu inasambaa sana.
Huyo MC kazingua.
Atatoa jicho pundeJamaa katoa mahali kweli huyo??
Ndio yeyeMc kazingua alafu mbona kama dr cheni?
Hakuna baya lolote hapo,waache i wafaidi ndoa yaoKijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Kazingua sana kulikuwa hakuna haja ya kukaziaNdio yeye
Ukiangalia hiyo video mara mbili mbili kuna kitu kingine utagundua😂😂😂😂
Eniweiz ni mambo yao hayo
Alpha 1
😂😂😂nyuso zinaongeaaNimeona wazazi wa Bibi harusi hawamkubali Bwana harusi
Kipi Bora? Aoe choka mbaya/mdangaji au mtoto wa tajiri?Dharau na unyanyasaji mkubwa sana.Ila kwa kuwa sio sisi ni rahisi sana kuona kawaida.
Ukiona hali kama hizi usigeuke...ondoka zako mbali.
Kama sitakua na say nazo kisheria, hizo mali sizitaki kwenye mji wangu! Na hapa naamanisha mji kama mume na mke,maana watowaji wa hizo zawadi wesha tubagua! Ila tusiwalaumu sana na vyao,wana haki ya kumpaa wamtakae!!Dharau na unyanyasaji mkubwa sana.Ila kwa kuwa sio sisi ni rahisi sana kuona kawaida.
Ukiona hali kama hizi usigeuke...ondoka zako mbali.
Mzee maisha hayo huko..kuna mambo mengi ya kufanya maisha haya.Kipi Bora? Air mdangaji au mtoto wa tajiri?
Ni sawa si kwa mazingira ya dharau hivyo.Kama sitakua na say nazo kisheria, hizo mali sizitaki kwenye mji wangu! Na hapa naamanisha mji kama mume na mke,maana watowaji wa hizo zawadi wesha tubagua! Ila tusiwalaumu sana na vyao,wana haki ya kumpaa wamtakae!!
Hajalazimishwa kuoa huyo mwanamke. Atakua namna ya kuvumilia dharauMzee maisha hayo huko..kuna mambo mengi ya kufanya maisha haya.
Ogopa sana dharau kwa Mwanaume kama huyo jamaa hapo.
Hela ya mwanamke haijawahi kuwa ya mwanaume..
Umeshaambiwa utakula kwa jasho wewe unataka kwenda kuzaa kwa uchungu..
"Watoto wetu tunawapa zawadi hizi......." na sio kutaja jina moja la mtoto wao tu..Mkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?