M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Uondoke utaishije na hela anayo mwanamke?Ningekuwa mm ,I cannot be summoned like mangoore no never . Ningeondoka ukumbini this is disrespect of high level
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uondoke utaishije na hela anayo mwanamke?Ningekuwa mm ,I cannot be summoned like mangoore no never . Ningeondoka ukumbini this is disrespect of high level
No i..nabidi uwe na mindset ya kimafia..unavumilia kumbe una jambo lako unacheka tumboniOne man down.
One man down
Kijana hana chake hapo.
Kijana hatakuwa na ile Manhood kwa mkewe.
I really man never take handout from womanUondoke utaishije na hela anayo mwanamke?
Basi Presence ya Jamaa wasingeitambua tu, Mimi ningeomba MIC nimchane uyo MC mjinga kabisa, kwa sababu huwezi Kufanya Upuuzi ivo eti kisa uko paid na upande wa Ukweni hio Ni send off ni shughuli yao Mimi nimeitwa kama Mgeni tu sasa mambo ya Kuvunjiana heshima Nisingeyavumilia kabisaMC mwenyewe kalipwa na upande wa kikeni ndiyo maana anazarau upande wa kiumeni,yaani kesha ji position kikeni automatically!!
Cheni amezingua sana Hapo na Ujumbe ufikie Kuwa Uchawa Ukizidi ni Kuharibu, Ashukuru tu amekutana na Jamaa Mpole, Ingekuwa Mimi apo Shughuli ingeharibika Kabisa na Uyo sijui Dr Cheni angeoniomba radhi apo apo Ukumbini very patheticKwq kweli nime mu underrate mno mnoo Dr Cheni....yaani nimemvua manyota yote.....hajamtendea haki kaka wa watu maskini,halafu anaoneka ni kijana mtaratibu SIJAPENDA KABISA
Mc ndo kazingua dadeq zake ila mengine yote Mimi naona sahihi kwani Deborah akijakuleta zakuleta msukuma sianampiga chini ila Mimi naona Deborah anampenda msukuma,Hapana ni jinsi huyo kijana alivyokurupushwa huko akapige picha
Tena ndio itadumu ndoa nyingi.zinakufa kwa ulimbukeni wa mali wa Wanawake.lakini huyoooo mali sio shida zakeHamna ndoa apo
Unachekesha kweli yaan wazazi waache kumpa zawadi binti yao! kwani huyo kijana na yeye hana wazazi wa kumuorodheshea wanachompa?Mkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?
Mnampaje zawad zinazonizidi uwezo mm huoni kama ni udhalilishaji?. Hizo zawadi sizitaki bakini nazo tutatafuta za kwetu ama bakini na Binti yenuUnachekesha kweli yaan wazazi waache kumpa zawadi binti yao! kwani huyo kijana na yeye hana wazazi wa kumuorodheshea wanachompa?
Bure kabisaa!Cheni amezingua sana Hapo na Ujumbe ufikie Kuwa Uchawa Ukizidi ni Kuharibu, Ashukuru tu amekutana na Jamaa Mpole, Ingekuwa Mimi apo Shughuli ingeharibika Kabisa na Uyo sijui Dr Cheni angeoniomba radhi apo apo Ukumbini very pathetic
Kijana wa kisukuma kaenda kuolewa kwenye maghorofa ya watu. Hapo kazi anayo.