Huyu kijana Amedhalilika sana

Huyu kijana Amedhalilika sana

Issue ndogo sana hii kwa jamaa kumuacha mkewe,,,demu asingempenda Wala wasingefika huku..MC ndio kaharibu ..maana wazasi kutoa ZAWADI kwenye sendoff ni kitu cha kawaida
 
Kwq kweli nime mu underrate mno mnoo Dr Cheni....yaani nimemvua manyota yote.....hajamtendea haki kaka wa watu maskini,halafu anaoneka ni kijana mtaratibu SIJAPENDA KABISA
 
MC mwenyewe kalipwa na upande wa kikeni ndiyo maana anazarau upande wa kiumeni,yaani kesha ji position kikeni automatically!!
Basi Presence ya Jamaa wasingeitambua tu, Mimi ningeomba MIC nimchane uyo MC mjinga kabisa, kwa sababu huwezi Kufanya Upuuzi ivo eti kisa uko paid na upande wa Ukweni hio Ni send off ni shughuli yao Mimi nimeitwa kama Mgeni tu sasa mambo ya Kuvunjiana heshima Nisingeyavumilia kabisa
 
Kwq kweli nime mu underrate mno mnoo Dr Cheni....yaani nimemvua manyota yote.....hajamtendea haki kaka wa watu maskini,halafu anaoneka ni kijana mtaratibu SIJAPENDA KABISA
Cheni amezingua sana Hapo na Ujumbe ufikie Kuwa Uchawa Ukizidi ni Kuharibu, Ashukuru tu amekutana na Jamaa Mpole, Ingekuwa Mimi apo Shughuli ingeharibika Kabisa na Uyo sijui Dr Cheni angeoniomba radhi apo apo Ukumbini very pathetic
 
Hapana ni jinsi huyo kijana alivyokurupushwa huko akapige picha
Mc ndo kazingua dadeq zake ila mengine yote Mimi naona sahihi kwani Deborah akijakuleta zakuleta msukuma sianampiga chini ila Mimi naona Deborah anampenda msukuma,

Kingine huyu mc nisingemlipa ata mia anadharau sana
 
Uyo Dr cheni hajakutana na Vichaa Hio shughuli ningekuwa mimi ndio Baba harusi basi Ingeharibika apo apo Na Dr cheni angepata aibu sana mana sio kwa kujichetua Uko mimi ningekoma kusimama na ningepewa MIC ningeharibu zaidi ili Uyo MC akili zimkae
 
Unaendaje kuoa sehem ulipozidiwa uchumi? Bora niendelee kula dagaa na matembele kwenye geto langu single room hapa kaburi moja
 
Mkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?
Unachekesha kweli yaan wazazi waache kumpa zawadi binti yao! kwani huyo kijana na yeye hana wazazi wa kumuorodheshea wanachompa?
 
Unachekesha kweli yaan wazazi waache kumpa zawadi binti yao! kwani huyo kijana na yeye hana wazazi wa kumuorodheshea wanachompa?
Mnampaje zawad zinazonizidi uwezo mm huoni kama ni udhalilishaji?. Hizo zawadi sizitaki bakini nazo tutatafuta za kwetu ama bakini na Binti yenu
 
Cheni amezingua sana Hapo na Ujumbe ufikie Kuwa Uchawa Ukizidi ni Kuharibu, Ashukuru tu amekutana na Jamaa Mpole, Ingekuwa Mimi apo Shughuli ingeharibika Kabisa na Uyo sijui Dr Cheni angeoniomba radhi apo apo Ukumbini very pathetic
Bure kabisaa!
 
Back
Top Bottom