Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

Una umri gani? Yaani umeshindwa kutoa buku 10.. Hujui kuwa hiyo ndio Ilikuwa chambo. Haya sasa demu kasepa, juice yako kanywa na nauli ukampa na Utamu umeukosa
 
Nahisi anaona Kama ulimchukulia Kama yeye ni wa kudanga danga, maana madem ambao watu hukutana nao kwenye mitandao watu ndio huwafanyia hayo uliyokua ukifanyia huyo dada
 
Umesahau na kale kamtindo kao ka kusingizia ana harusi ya Dada au mdogo wake hvyo anaomba umpe sapoti kidogo.

Hiv harusi ya ndugu yake mi ndy nitoe mchango wakajipikie wakale wao mi nibaki nabungaaa tuuu
Afu unaweza kuta hiyo hela anaenda lipia card doublena hela ya gesti, ili aende na jamaa ake.
 
"Kimbia fasta, toka nduki we kimbia.."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…