Huyu mdogo wangu ananitia mashaka

Hahahaha duh!
Sasa na mimi mdogo wangu kabisaaa ambaye nikitoka mimi anafuata yeye anafikisha 19 pia mwaka huu

Unaanzaje kunikadiria umri wa 21?kuna watu tunazidiana na wadogo zetu hata miaka 5+
Angekuwa na umri wa miaka 24 au plus asingeleta Mada ya hivyo angekuwa anaoigania ndoa wapi ataolewa.

Ila huu mwandiko unaonyesha niwakugombsnia ukoko Nyumbani na mdogo wake.
 
Angekuwa na umri wa miaka 24 au plus asingeleta Mada ya hivyo angekuwa anaoigania ndoa wapi ataolewa.

Ila huu mwandiko unaonyesha niwakugombsnia ukoko Nyumbani na mdogo wake.
Ndoa na afya ya mdogo wake nadhani kwa hali ya kawaida atafikiria mdogo wake kwanza
 
Ndoa na afya ya mdogo wake nadhani kwa hali ya kawaida atafikiria mdogo wake kwanza
Baada ya kumsaidia mdogo wake kwenye malezi mema yeye ana hamasisha michakato.

Je Kama dogo anataka kuwa padre
 
huyo dogo mazingira ndo yamemuharibu, inaonesha amecheza sana rede na watoto wa kike, pia yaonekana amekuzwa kwenye mazingira ya wadada/ wanawake tupu/na michezo ya kike, kwa staili hiyo lazma awe na tabia za kike.

na kama ana tabia za kike, ikitokea kidume wa kumrubuni ndo basi tena.

mtoto wa kiume anatakiwa alelewe kiume na kucheza michezo ya kiume, pamoja na wanaume wenzake, kama vile mpira ili akae kiume na tabia za kiume.

sasa hapo ni kumwanzishia mazoezi na kazi za kiume, ili akaze kiume na kuchangamana na wanaume wenzake, unapozidi kumletea wanawake ndo anazidi kuchukua tabia zao na kuwa kama hao wanawake.
 
Atakua na girlfriend wake ila hataki umjue anafanya mambo kwa siri.
 
Acha ujinga kumfundisha mdogo wako Upuuzi.Wewe jamaa ni mpumbavu.
 
Kwakua umetambua kijana ni mwenye akili, elewa wenye akili ni wapembuzi sn. Istoshe ukiwa na uakika wa kushika ukitakacho bila shida bas tamaa na pupa hukuepuka, mwana c anakubalika!!! Sasa kwann aende resi?
 

Wewe huna maaana mimi hata Dada yangu angekaa uchi nisingeshtuka ningesikia kutapika
 
Yeye labda kaamua hatofanya zinaa wewe wamlazimisha awe kama wewe!
Wewe ulianza ako kamchezo ukiwa na umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…