Huyu mdogo wangu ananitia mashaka

Huyu mdogo wangu ananitia mashaka

Hahahaha duh!
Sasa na mimi mdogo wangu kabisaaa ambaye nikitoka mimi anafuata yeye anafikisha 19 pia mwaka huu

Unaanzaje kunikadiria umri wa 21?kuna watu tunazidiana na wadogo zetu hata miaka 5+
Angekuwa na umri wa miaka 24 au plus asingeleta Mada ya hivyo angekuwa anaoigania ndoa wapi ataolewa.

Ila huu mwandiko unaonyesha niwakugombsnia ukoko Nyumbani na mdogo wake.
 
Angekuwa na umri wa miaka 24 au plus asingeleta Mada ya hivyo angekuwa anaoigania ndoa wapi ataolewa.

Ila huu mwandiko unaonyesha niwakugombsnia ukoko Nyumbani na mdogo wake.
Ndoa na afya ya mdogo wake nadhani kwa hali ya kawaida atafikiria mdogo wake kwanza
 
Ndoa na afya ya mdogo wake nadhani kwa hali ya kawaida atafikiria mdogo wake kwanza
Baada ya kumsaidia mdogo wake kwenye malezi mema yeye ana hamasisha michakato.

Je Kama dogo anataka kuwa padre
 
We nae mnataka niongee vitu ambavo nilikua sitaki kuandika hapa. Ukikaa nae kuna mda unaona kabisa anajaribu kucontrol mimics zke lakin saa nyingine anashindwa zinatokea tu automatic. Kama tatizo lingekua ni Kutokua na girlfriend tu nisinge umiza kichwa
huyo dogo mazingira ndo yamemuharibu, inaonesha amecheza sana rede na watoto wa kike, pia yaonekana amekuzwa kwenye mazingira ya wadada/ wanawake tupu/na michezo ya kike, kwa staili hiyo lazma awe na tabia za kike.

na kama ana tabia za kike, ikitokea kidume wa kumrubuni ndo basi tena.

mtoto wa kiume anatakiwa alelewe kiume na kucheza michezo ya kiume, pamoja na wanaume wenzake, kama vile mpira ili akae kiume na tabia za kiume.

sasa hapo ni kumwanzishia mazoezi na kazi za kiume, ili akaze kiume na kuchangamana na wanaume wenzake, unapozidi kumletea wanawake ndo anazidi kuchukua tabia zao na kuwa kama hao wanawake.
 
Nna mdogo wngu wa kiume ana miaka 19. Handsome ana akili. Watoto wa kike hawaishi kujigonga wanamfata hadi nyumbani kisingizio wanakuja kusoma. Watoto wazurii wanamfata lakin hakuna ata goli kutoka kwa mdogo wngu 🙁

Kuna kipndi nilikua nikimkuta na msichana nawaambia wote kwa pamoja "mnapendeza sna mkiwa couple" nafanya yote hya mdogo apige hatua lakin wapi hamna ktu . Nilishawahi mpk kumwambia msichana mmoja kua mdogo wngu anakupenda ila anaogopa kukwambia. Yule mtoto akamwambia lakn mdogo wangu akamkatalia ati sio kweli mpk yule mtoto akaacha kabisa kuwasilana nae na nyumbani akaacha kuja

Ukiongea nae kuhusu swala ili anakua mkali ananambia kwan we huna maisha yko mpk unafatilia yngu niache na maisha yangu kla kitu kina mda wake!!

Mimi lengo langu ata sio ati aanzishe uhusiano wa kudumu nataka tu kwa umri wke ajichanganye na wasichana apige tu mechi yaishe. Lakin yee hataki kabisa kusikia habari hizo. Nashangaa sna na kwa umri wke hormones ndo zinakua ktk peak lakin yee yko tofauti kabisa. Hivi mwanaume aliekamilika anaeza kukaa na wanawake wazuri halafu asifanye kitu? Au nifanyaje ili na yeye aweze kujichanganya na watoto wa kike?
Acha ujinga kumfundisha mdogo wako Upuuzi.Wewe jamaa ni mpumbavu.
 
Kwakua umetambua kijana ni mwenye akili, elewa wenye akili ni wapembuzi sn. Istoshe ukiwa na uakika wa kushika ukitakacho bila shida bas tamaa na pupa hukuepuka, mwana c anakubalika!!! Sasa kwann aende resi?
 
Kesi Kama hizo, Tumia TU akili dada angu.

Nakupa mbinu,
Wee mwnyw Kama dada ake jaribu kukaa kihasara hasara kdg Kama unamtega kingono uone atarespond vipi.

(NB: Sio kwa Nia ya kusex nae,
Bali kwa Lengo zuri tu la kumstua hisia zake.)

Ukiona,
Hamna response wasiliana na wazee wamuwaishe hospitali haraka Sana.

Mwanaume alokamilika akiona maungo flani flani hayajakaa mahala pake,
lazma tu adinde hata Kama Ni ndugu mapacha wa kuzaliwa tumbo moja[emoji4]

Wewe huna maaana mimi hata Dada yangu angekaa uchi nisingeshtuka ningesikia kutapika
 
Yeye labda kaamua hatofanya zinaa wewe wamlazimisha awe kama wewe!
Wewe ulianza ako kamchezo ukiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom