Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Labda huwa wanafanya mazoezi ya kudhibiti upinzani, hili la mshambuliaji mwenye risasi za moto haipo kwenye mtaala🐒
 
POLISI walimuua wapi wewe?

Polisi hawakumuua yalimuua majeraha baada ya kuvuja damu nyingi baada ya kupigwa risasi
 
Mh ndugu taratibu.
Unatakiwa uangalie je Tz ni nchi ilopitia matokea haya mara ngapi na imezoelekaje mazingira yake?
Tz imezoeleka nchi ya amani ndugu na ndio maana hata tukio km la jana limesumbua kwasababu jeshi letu lime relax kulingana na hali ilokuwepo nchini.
Jiulize mbn USA walishindwa kumkamata Farah Somalia na wao walikua na jeshi kubwa well equiped?
duh. wa kupimwa wewe
 
Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Sister, usiombe kukutana na wazee wa interrogation hasa hawa wa nchi za kiafrica ambazo human rights zipo kwenye makaratasi.. huyo hata dk 30 asingemaliza

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Yule mtu alikuwa gaidi. Shuhuda Happy Manono anasimulia. Alitokea baharini, (beach), akachomoa silaha mbili,"akaongea, Allahu Akbar, akawapiga risasi polisi, akawanyang'anya silaha. Kila alipokuwa anapiga risasi chache, alikuwa anasema, 'Allahu Akbar', halafu risasi zilipomuishia, akapiga magoti, akanyoosha mikono juu."

 
Katika picha zilizopigwa kuna gap pale anapopigwa risasi. Maybe the video was doctored? Kwa sababu huyu ni eye-witness amezungumza hivyo. Sasa witnesses pale walikuwa wengi, wengi sana. Haipaswi kuwa vigumu kufahamu ukweli wa hili jambo.
 
Kwamba unaamini alipiga magoti (hata kama kweli) akiashiria anasarenda?

Umewazia kua pengine ni anamuambia mungu kwamba "sasa ndiyo nakuja nipokee"
 
Kwani Mbowe ni lini alisema Allahu Akbar?
Hio Allahu Akbar hata waislamu kwenye swala wanaisema sana....
 
Acha upumbavu wewe hakuna sehemu yoyote amepiga magoti wala ku surrender , alikukwa anaendelea kupigapiga kifua kwa msjigambo na kunjoosha kidole juu. Na anaonekana anaendelea kushambulia na kukwepa risasi hadi risasi ilipomuangusha
 
Katika picha zilizopigwa kuna gap pale anapopigwa risasi. Maybe the video was doctored? Kwa sababu huyu ni eye-witness amezungumza hivyo. Sasa witnesses pale walikuwa wengi,wengi sana. Haipaswi kuwa vigumu kufahamu ukweli wa hili jambo.
Mwamba alipigwa bomba akiwa wima na mashine yake mkononi
 
Dini haihusiani kabisa na upuzii huu,
Swali kwa nini ashambulie askari pekee? Nini kiko nyuma yao? Askari ndio magaidi namba moja katika taifa hili maana ueezo wa kumkamata ulikuwepo kabisa , eti wanapiga kichwa

Shame on you police!!
 
Yule mtu alikuwa gaidi. Shuhuda Happy Manono anasimulia. Alitokea baharini,(beach), akachomoa silaha mbili,"akaongea, Allahu Akbar,akawapiga risasi polisi,akawanyang'anya silaha. Kila alipokuwa anapiga risasi chache,alikuwa anasema,'Allahu Akbar',halafu risasi zilipomuishia,akapiga magoti,akanyoosha mikono juu."
Tumeona video akipigwa risasi ya kichwa. Hakuwa amepiga magoti, alikuwa amesimama wima ndipo akaanguka.
 
Back
Top Bottom