Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Watu kwa kuzua tu, hatujambo. Kwa mujibu wa zile clip, Jamaa alionekana amesimama wima huku akitamba barabara yote, ndipo akalambishwa shaba, leo tunaambiwa ALIPIGA MAGOTI!Na Mimi niliona hivyo hivyo.
Haiwezekani kila mtu aone kivyake. Hilo ni jamboTukio moja kila mtu ameona kivyake. Hakuna jipya hapa
Hii picha clearly inaonyesha Hamza hakupiga magoti. Yule witness sijui alikuwa ana matatizo ganiYule mtu alikuwa gaidi. Shuhuda Happy Manono anasimulia. Alitokea baharini,(beach), akachomoa silaha mbili,"akaongea, Allahu Akbar,akawapiga risasi polisi,akawanyang'anya silaha. Kila alipokuwa anapiga risasi chache,alikuwa anasema,'Allahu Akbar',halafu risasi zilipomuishia,akapiga magoti,akanyoosha mikono juu."
Nilipingana na Magufuli ,kuwa Tanzania imefika uchumi wa wakati.Aisee ilikuwa si ukweli.Kwa kuwa watu wengi hawana uelewa kama mwenye huu Uzi.Yule mtu alikuwa gaidi. Shuhuda Happy Manono anasimulia. Alitokea baharini, (beach), akachomoa silaha mbili,"akaongea, Allahu Akbar, akawapiga risasi polisi, akawanyang'anya silaha. Kila alipokuwa anapiga risasi chache, alikuwa anasema, 'Allahu Akbar', halafu risasi zilipomuishia, akapiga magoti, akanyoosha mikono juu."
View attachment 1914501
Mi nikadhani simu yangu mbovu kume wameziblok! Nakosa uhondo mieNasemaje... ukitaka uone bongo watu wanaandamana waguse sehemu zifuatazo...
1-wapandishe bei za pombe...
2-waweke tozo kwenye mikeka ya kubeti yaani kama mtu ameshinda laki 1, serikali ikate 50%... hivyo hivyo kwenye bonanza...
3-Hakuna kuingia gesti bila ID ya chanjo ya corona...
wallah tunaingia road, hii ya ku block porn sites, hamjawastua wanadunda na vpn... ,tozo na kodi ya jengo kupitia LUKU hivyo kawaida....
mkigusa hizo sehemu, tunachoma matairi barabarani.... wallah
Na alikuwa akifyatua risasi,Tumeona video akipigwa risasi ya kichwa. Hakuwa amepiga magoti, alikuwa amesimama wima ndipo akaanguka.
Unazeeka vibayaGaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.
MmmhWabongo hawanaga akili kabisa.
Nawashangaa sana.
Badala ya kuangalia vya maana wanaanza kukosoa ujinga.
Wamesahau kuwa polisi hao hao ndio waliweka hali shwari Kibiti na mpkn mwa Mtwara.Wameshasahau polisi hao hao ndio walioleta hali ya utulivu nchini.
Wanashindwa kupima tukio limetokea kwa mazingira gani na nchi yetu imezoea hali gani.
Hapa ndipo naelewa kwann Tz tuna safari ndefu ya maendeleo.