Huyu mjamzito amenyanyaswa na wahudumu wa mwendokasi hapa Mbezi Mwisho mpaka akazimia

Kwenye mwendokasi Watoto wa miaka 5 na kuendelea wanalipia hiyo 200/ tofauti na kwenye panton ambapo wanafunzi wanapanda bure.

Wangemuelewesha tu. Sema kwakuwa na Dada mjamzito hakuwa na mpango wa kulipa hiyo 200/ ndiyo maana yakatokea hapo.
 
Hii siyo suluhisho la kudumu.
Kulipia nauli muhimu.
Kumsukuma mjamzito ni kosa.
Inawezekana hakutaka kuelewa. Ameelekezwa amlipie mtoto 200/ hakutaka. Mfanyakazi anasimamia maelekezo mama anasema atampakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…