Huyu mjamzito amenyanyaswa na wahudumu wa mwendokasi hapa Mbezi Mwisho mpaka akazimia

Huyu mjamzito amenyanyaswa na wahudumu wa mwendokasi hapa Mbezi Mwisho mpaka akazimia

Kuna dada mmoja nilizunguana naye kwenye kituo cha mwendokasi baada ya kunijibu jeuri.
 
Sina kumbu kumbu nzuri hapa naona kama ni sahihi lakini naona kama ni above 4
Ni above 2 nadhani

Hata saivi ukiingia kwenye website ya ATCL ama Precision air kufanya bookings utaona Kuna room ya age 0-2 kama infant
 
Wanaume wa dar wanakua wapi mpaka mama mjamzito wanamuharras kiasi hicho hata kama sio mkeo.

Je, sisi wanaume wa mikoani tukisema dar hakuna wanaume situtakua sahihi sana?
 
Ni above 2 nadhani

Hata saivi ukiingia kwenye website ya ATCL ama Precision air kufanya bookings utaona Kuna room ya age 0-2 kama infant
Average mtoto above 2 wa mtu mwenye mshahara wa middle class anaweza akapanda ndege kwa mwaka au miaka 2 mara moja.

Ila huyu mtoto anaweza akapanda mwendo kasi mpaka mara nne kwa mwezi.

Ni fair kwa ndege kuweka age range ya above 2 kwakua sidhani kama watakusanya pesa regularly.

Kwa mwendokasi kuna watoto wa 7 yrs kwenda juu ambao nauli yao inaweza kucompensate ya below 5 kila siku. Kwangu ni logical 5 and below kutolipa kwakua yawezekana hata hajui anaenda wapi na hapo hapo 7 and above anachangia hili gari almost kila siku ya wiki.
 
Average mtoto above 2 wa mtu mwenye mshahara wa middle class anaweza akapanda ndege kwa mwaka au miaka 2 mara moja.

Ila huyu mtoto anaweza akapanda mwendo kasi mpaka mara nne kwa mwezi.

Ni fair kwa ndege kuweka age range ya above 2 kwakua sidhani kama watakusanya pesa regularly.

Kwa mwendokasi kuna watoto wa 7 yrs kwenda juu ambao nauli yao inaweza kucompensate ya below 5 kila siku. Kwangu ni logical 5 and below kutolipa kwakua yawezekana hata hajui anaenda wapi na hapo hapo 7 and above anachangia hili gari almost kila siku ya wiki.
Sahihi Mkuu

Hata kwenye mabasi ya Mikoani, mtoto mdogo halipishwi nauli hadi umkatie seat ya peke yake ndiyo atalipa nauli

Wakati mwingine busara zituongoze kwenye kufanya maamuzi.

Shirika lenyewe Kila Mwaka wanaripoti hasara tu

Halijawahi kuleta faida na wenzao ATCL/TTCL n.k
 
Maskini hana kiapo.

Ila ilikuwa ni vema na haki mpiga picha ungelipa tu hata 10k. Na wala usitake chenchi kuondoa hizo purukushani.

Naimani dogo akiwa mkubwa akawa raisi atachukia sana umaskini.
 
Nianze na Swali: Watoto wa kuanzia miaka mingapi wanapaswa kulipa nauli za mwendokasi?

Mida ya hii jioni huyu dada mjamzito alikuwa na mwanaye wakiwa wanasubiri mwendokasi za Kivukoni. Mtoto alikuwa na miaka kama mitano hivi.

Alipoingia kwenye gari cha ajabu mhudumu anayescan ticket akawa analazimisha yule dada amlipie na huyo mtoto nauli, ilhali ni mtoto mdogo anayeweza kupakatwa.

Pamoja na dada kuwaambia atampakata lakini walimgomea, ndipo ikatokea kukusukumana hapa na pale mpaka ikabidi watu wote watoke kwenye mwendokasi.

Haijalishi ni nani alikuwa na kosa hapa, lakini sijapenda namna huyu dada mjamzito alivyokuwa treated, maana wamemuharrass sana mpaka dada wa watu akazimia, huku mwanaye akilia kwa uchungu.

Hili shirika japo ni la umma, lakini staffs wake wana zero customer care, hawana utu na hawajali wateja hata kama ana hali inayohitaji kusaidiwa.

Mtoto waliyekuwa wanafosi alipie👇
View attachment 2960024

Mama mjamzito akiwa ameanguka chini👇
View attachment 2960027

View attachment 2960028

Mwendokasi iliyokuwa inaenda Kivukoni👇

View attachment 2960033
Kwa malalamiko haya hv kweli hiki kizazi kitakuja kukitoa chama cha ccm madarakani!?
Kupitia sanduku la kura

Kutwa kulalama no action
 
Nauli anaanza lipia mtoto wa la kwanza.

Miaka 7 mtu hutakiwa kuanza la kwanza.

Miaka 5 au 6 kuanza la kwanza hii ni trend imevamiwa na wamama wa siku hizi.
Miaka mitano Unalipia NAURI ,

Halafu mie siyo mama,

Njoo nikuoe ili ujue kama ni mama au laa
 
Hili shirika japo ni la umma, lakini staffs wake wana zero customer care, hawana utu
1712854201074.png
 
Na nyie mpo, hii ndo reflection ya nguvu kazi kuja kuikomboa Tanzania? Pumbavu kabisa.

1. Mlishindwa kupambana?
2. Mlishindwa kumtetea?
3. Mlishindwa kumlipia Mtoto?

Kama hamuwezagi ku act huko, hizi habari za kifala msituletee sisi wanaume tuliokamilika.

Mnashindwa kumprotect Mama mja mzito mwenye mtoto Mdogo?
Msipambanie ujinga nauli ilipwe na kilanmtu. Mtoto ni 200 tu
 
Miaka mitano ni darasa la kwanza huyo hivyo anapaswa alipie mia mbili.

Kumpakata na kumlipia NAURI havihusiani kabisa kwani Kila mtu anaweza kumpakata mtoto wake hata kama anamiaka saba au 14 .

Mjamzito atii Sheria bila shurti.Kuwa mjamzito asijifiche kwenye uhalifu WA kutolipia NAURI kisa mjamzito eti aonewe huruma HAPANA.

Bora angeomba asaidiwe tu kuwa Hana NAURI anaomba msaada Kwa mwanae.Hapo angesaidiwa lakini pesa unayo unaleta ujuaji WA Sheria ni kujitakia matatizo kama hayo.

Kwa hapo siwalaumu wahudumu WA mwendokasi WALIKUWA sahihi.
Watz wanapenda onewa huruma kwa mambo yao wenyewe
 
Na nyie mpo, hii ndo reflection ya nguvu kazi kuja kuikomboa Tanzania? Pumbavu kabisa.

1. Mlishindwa kupambana?
2. Mlishindwa kumtetea?
3. Mlishindwa kumlipia Mtoto?

Kama hamuwezagi ku act huko, hizi habari za kifala msituletee sisi wanaume tuliokamilika.

Mnashindwa kumprotect Mama mja mzito mwenye mtoto Mdogo?
Halafu bila aibu anapiga picha na kupost mpumbavu sana
 
Hapo ili kufupisha mambo alitakiwa atoke mtu amlipie
Nauli hyo mtoto,maana wakati mwingine hapo udart kuna wafanyakazi wendawazi wana eoho mbaya makatili,wpmbv kabisa

Ova
Wakatili kivipi? Kwa hiyo wao walitakiwa kumlipia nauli huyo dogo?
 
Nilitamani kusikia kuwa, kuna mwanamme mmoja aliguswa hapo akamlipia hiyo sijui shs 700
badala ya kusubiria hadi kelele ziwe nyingi kiasi hicho na kuweza kusababisha madhara kwa mama kijacho
Hii siyo suluhisho la kudumu.
Kulipia nauli muhimu.
Kumsukuma mjamzito ni kosa.
 
Miaka mitano ni darasa la kwanza huyo hivyo anapaswa alipie mia mbili.

Kumpakata na kumlipia NAURI havihusiani kabisa kwani Kila mtu anaweza kumpakata mtoto wake hata kama anamiaka saba au 14 .

Mjamzito atii Sheria bila shurti.Kuwa mjamzito asijifiche kwenye uhalifu WA kutolipia NAURI kisa mjamzito eti aonewe huruma HAPANA.

Bora angeomba asaidiwe tu kuwa Hana NAURI anaomba msaada Kwa mwanae.Hapo angesaidiwa lakini pesa unayo unaleta ujuaji WA Sheria ni kujitakia matatizo kama hayo.

Kwa hapo siwalaumu wahudumu WA mwendokasi ubinadamu ni kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom