Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa anaweza kukosa, je hao mapunguani walosimama wakimuangalia na huyu alowahi kupiga picha ili alete umbea humu alishindwa kumsaidia huyo mama?Ishu sio kukaa kwenye siti, ishu ni dogo ataongeza uzito wa mzigo.
Siungi mkono huyo mama kufanyiwa hivyo.
Upande mwingine hii inaonyesha jinsi gani bongo life ni gumu. Huyo mama alikosa 200 ya kumlipia dogo nauli.
YeahKam sku nyingine mwisho wa uzi wako iwe,, niliona sio vema nkamsaidia mhanga.nukta
KabisaNilitamani kusikia kuwa, kuna mwanamme mmoja aliguswa hapo akamlipa hiyo sijui shs 700
badala ya kusubiria hadi kelele ziwe nyingi kiasi hicho na kuweza kusababisha madhara kwa mama kijacho
Nauli anaanza lipia mtoto wa la kwanza.Miaka mitano unalipia nauri.
Hicho ndo kikubwa
Ni kweli alikosa mia 2 au alikuwa nayo sema ujuaji na anataka kuonewa huruma cunajua wanawake.Mwendokasi walikuwa sahihi kimaamuzi ila wangejaribu kumuomea huruma. Umaskini ni fedheha sana kwa kweli nimeangalia hizo picha
Nianze na Swali: Watoto wa kuanzia miaka mingapi wanapaswa kulipa nauli za mwendokasi?
Mida ya hii jioni huyu dada mjamzito alikuwa na mwanaye wakiwa wanasubiri mwendokasi za Kivukoni. Mtoto alikuwa na miaka kama mitano hivi.
Alipoingia kwenye gari cha ajabu mhudumu anayescan ticket akawa analazimisha yule dada amlipie na huyo mtoto nauli, ilhali ni mtoto mdogo anayeweza kupakatwa.
Pamoja na dada kuwaambia atampakata lakini walimgomea, ndipo ikatokea kukusukumana hapa na pale mpaka ikabidi watu wote watoke kwenye mwendokasi.
Haijalishi ni nani alikuwa na kosa hapa, lakini sijapenda namna huyu dada mjamzito alivyokuwa treated, maana wamemuharrass sana mpaka dada wa watu akazimia, huku mwanaye akilia kwa uchungu.
Hili shirika japo ni la umma, lakini staffs wake wana zero customer care, hawana utu na hawajali wateja hata kama ana hali inayohitaji kusaidiwa.
Mtoto waliyekuwa wanafosi alipie👇
View attachment 2960024
Mama mjamzito akiwa ameanguka chini👇
View attachment 2960027
View attachment 2960028
Mwendokasi iliyokuwa inaenda Kivukoni👇
View attachment 2960033
Ulitaka apande nini?Sema mjamzito kupanda hz mwendokasi watu wanavojaaa vle sio pw
Kwa hiyo kuwa mwansume ndio kutoatoa pesa hovyo sio?Nilitamani kusikia kuwa, kuna mwanamme mmoja aliguswa hapo akamlipia hiyo sijui shs 700
badala ya kusubiria hadi kelele ziwe nyingi kiasi hicho na kuweza kusababisha madhara kwa mama kijacho