Huyu mke nafaa kuoa kweli?

Japo ni ngumu Sana kutafuniwa hata kama ulimkuta kahaba lakini kwa hali ya SAsa usimcheke mwanaume mwenzio.
Ni SAwa na kufurahia au kushare picha za mtoto wa mwenzio picha zake za utupu zimevuja, kesho si ajabu za mwanao zimevuja.
 
Soma comments zangu vizuri
 
Huyu mwanamke usema kweli nilikakuta bikra..ndiyo kalikuwa mwaka wa kwanza chuo...kinachoniuma nikutombewa nikiwa nae ndani..na mwaka wa mwisho ni mimi nilimlipia ada..baada ya mimba ya mtoto wakwanza kukua na wazazi wake kujua..
kamuulize mchungaji wako ni wapi katika biblia yeye huyo mchungaji wako au kanisa lake na yeye mwenyewe alipewa mamlaka ya kufungisha ndoa na kwamba ndoa isipo pitia kanisani sio ndoa halali wewe na huyo mchungaji wako mkilipata hilo andiko nitawapa zawadi nono sana.

acheni kukalilishwa desturi na mawazo ya watu kwa maslahi yao na kuyafanya ndiyo takwa la mungu na biblia.
 
Mkae vizuri kwenye dini! huku wewe unazurula vichakani kula tunda kimasihara! Wewe msafi isipokuwa mla matunda pori huku unamuona mkeo si msafi kwa kuliwa kimasihara, acha utani sijui nikusaidiaje.
KULINGANA NA SHERIA YA TANZANIA HUYO NI MKEO HALALI NA HAUWEZI KUKWEPA.
 
Huyo mgumba wako muda unapoandika uzi kuna midume inamkula hatari.
Maisha ya mwanadamu ni kula na kuliwa japo hatuupendi huu ukweli.
 
Soma post #11
 
najiuliza mwanaume wa hivi anawezaje kuwa na familia naye ukamuita baba nashangaa
 
Aseh! Hauko serious kabisa na mkeo or mpenzi wako huyo, wewe tu unasema umekutana na rafiki yake mkafanya Ngono Sasa ... Ya mwanamke aliokuwa nao 3 yrs huko inakufanya uumie Nini ilihalli wewe tu umetoka nje ya boma,

Unavyomtuhumu hivo huyo mzazi mwenzio .. ikitokea rafki yake akamwambia umelala nae... Guess what

Waza vizuri ase..

#Once is gone is gone, usipowahi utawahi...
 
Umezaa naye watoto watatu unaomba ushauri wa nini tena.

Hiyo ilikuwa zamani yake.

Wa pekee yako labda ukachonge mjukuu
 
Wewe unamatatizo ya akili na inaonyesha unapenda kum-control mkeo kama remote. Haiwezekani vitu vya miaka 10 nyuma uvibebe leo na hapo umetoka kulala na rafiki yake.
Inaonekana wazi kabisa jamaa alikuwa anampeleka atakavyo mke wake huyo...
 
Inaonesha umridhishi bro kama umemkuta bikra na akaanza kukucheat zaidi ya viumbe 9. Hakuna kazi unaifanya kwa bed kaona hakutaftie wasaidizi
 
Story ya huyu jamaa zinaonesha kuwa wanaume duniani wamebaki wachache sana...Imagine uwezo wake wa kureason mambo...kweli kabisa mwanaume kamili anaweza kuuliza ulitembea na nani na nani?ili agundue nini? Duh Mungu asaidie vizazi vyetu
 
Sasa shangazi mbna huyu mwanaume nae ni malayaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…