Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga sidhani kama kuna kiongozi pale; labda cheo alipewa Kwa connection

Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga sidhani kama kuna kiongozi pale; labda cheo alipewa Kwa connection

Kabla ya kumkashifu Mkuu wa mkoa ni vyema ukapata Taarifa ya upande wa pili.
Je,Daktari wa zamu alikua kazini muda huo, nesi wa zamu je?
Kama hawakuwepo basi palikua na uzembe Fulani.

Huenda Daktari aliyetakiwa kuandika Rufaa hakuwepo ili wagonjwa wawahishwe Hospitali ya mkoa.
Huenda wagonjwa walichelewa kupata hata huduma ya kwanza kutokana na kuchelewa Kwa Madaktari.
Serikali iacha blabla nyingi ..unakuta hospitali ina upungufu wa wa watumishi kwa 60 hao watu utawakuta wapi kila saa
 
Umewahi kusikia kitu kinaitwa Emergency Operation Plan/mpango wa kushughulika na dharura?
Ipo kwenye mkoa, wilaya au Hospitali? Ilifuatwa katika hili tukio?
Daktari wa wilaya anaishi karibu na hospital nyumba haipo hata umbali wa mita 30, ajali inatokea saa nne usiku watu wanaenda kwenye eneo la ajali wanaokoa wajeruhi na kutoa maiti wanapeleka Hadi hospital lakin daktari hayupo hospital anapigiwa sim anasema yeye anazo taarifa tena wao ndo walipata taarifa wa kwanza matokeo yake anaamua kwenda hospital alfajiri huo siyo uzembe?

Watu hawawalaumu kutofika eneo la ajali Ila wanalaumiwa kutokufika kituo cha kaz kutoa msaada katika hali ya dharura hali ya kuwa wanaishi mita 10 tu kutoka hospital ilipo, hizo nyumba kujengwa karibu na vituo vya kaz hazikujengwa bahati mbaya zilijengwa ili huduma ipatikane haraka wakati wa dharura
 
Watu waliopaswa kwenda haraka pale ni Polisi kikosi cha ZIMAMOTO NA UOKOAJI.

Hao wanaweza kushirikiana na wauguzi wa karibu na eneo la ajali kwa escort lakini siyo Daktari kuacha kutoa huduma hospital na kwenda kufuata majeruhi.

Viongozi wengine weledi mdogo, tuwahurumie.

Ndani ya jeshi la Zimamoto na Uokoaji baadhi yao wafundishwe kuwa Paramedics na Advanced Paramedics.

Hao ndo watakaokuwa wanafanya kazi kwenye ambulances.

Inapotokea ajali wanaenda kwenye eneo la ajali na kutoa huduma kwa waliopata ajali ikiwa ni pamoja na kuwasafirisha wagonjwa kwenda hospitalini.

Ajali ikitokea, timu zifuatazo zifike eneo la tukio:
1. Ambulances (Paramedics)
2. Zimamoto na Uokoaji ( General)
3. Polisi - kwa ajili ya kulinda usalama

Ni muhimu polisi wawepo eneo la ajali kwa sababu inapotokea ajali baadhi ya wenyeji wa eneo husika huwa ni wezi badala ya kutoa msaada kwa wahanga.

Ila kwa ujumla, tuna safari ndefu kuweza kufikia viwango vinavyohitajika.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
Huyo mkuu wa Mkoa yuko sahihi sana nimefuatilia sana mkuu.
Hao waliosimamishwa walipigiwa simu na mkuu wa Wilaya.
Mmoja alidanganya kuwa hayupo but asubuhi atatokea kwake ambapo ni mita chache kufika hospitalini.
 
Serikali iacha blabla nyingi ..unakuta hospitali ina upungufu wa wa watumishi kwa 60 hao watu utawakuta wapi kila saa
Sio kila kitu kuilaumu TU serikali .
Serikali imemwamini Daktari na kumpa kazi ya kulitumikia jamii inabidi afanye majukumu yake muda wote atakapo hitahika.

Kwenye hili la ajali ya Korogwe Blablaa aliifanya huyo Daktari Mwenyewe na sio Serikali .

Mtu unapigiwa simu na mkuu wa Wilaya Bado hustuki tuu kuwa Kuna jambo kubwa.

Hakuna mtu wa muhimu kuliko jamii.
Hilo linapaswa kueleweka hivyo. Kuna watu mara nyingine wanafikiri kuwa Elimu waliyoipata ni muhimu kuliko jamii. Jamii ndio inayatakiwa Ione umuhimu wa Elimu ya Mtu Kwa matendo yake ya kuisaidia jamii sio jamii impigie magoti mtu Kwa sababu ya Elimu au ujuzi Fulani . Hayo ni mambo ya kizamani.

Mara nyingi Tunawalaumu Polisi wa TRAFIKI lakini huwa hawachelewi kwenye eneo la ajali. Hata Kwa kutumia magari yao binafsi au kudandia malori lakini wanawahi haipiti nusu saa wanakua wamefika.
Unakuta wapo kwenye ajli hata kama ni usiku wa manane. Hilo nawapongeza TRAFIKI.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
Mkuu wa mkoa anacheza libeneke la kwake mwenyewe.
One Man Show itamgharimu.
Ile kesi ya magendo, kuungua kwa ghala haikuwa bahati mbaya, wenziwe wanamfix.
Ajihadari, uongozi ni wa pamoja, watu wadogo chini yake wanaweza muharibia kabisa.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
Huyu bwege katumia akili za kibwengo kufanya huo ujinga, Hospital zetu sio Redcross na haijawahi kuwa hivyo, atapata anachokitaka soon.
 
Binafsi naona sio fair kumuadhibu Mkwezi wakati nazi imeliwa na mwezi.

Imagine madereva waamue kuendesha kihuni bila tahadhari huku wakijua hawana cha kupoteza halafu ikitokea ajali Eti mtu au watu ambao ni innocence waache kulala na wake zao wakurupuke usiku wa Manane kwenda ku-rescue the situation?

Kwani hakukuwepo na madaktari wa zamu ?

Kama hawatoshi mwenye jukumu la kuajiri watoshe ni nani?
 
Wahuni waendeshe vibaya huko barabarani halafu Jumba bovu mtake kuwaangushia wengine?
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
Rudia tena kumsikiliza.
 
Mkuu wa mkoa yuko sahihi...daktari halaumiwi kwa kukosekana kwake ajalini bali analaumiwa kwa kukosekana kwake kituo cha kazi ambapo huduma ya dharula ilitakiwa kutolewa kuanzia kwa majeruhi na kuandikiwa kwa rufaa kwa wale ambao ni majeruhi.Hivyo kukisekana kwake kwa wakati ukute imepelekea hata kuongezeka kwa vifo.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
umeongea vzr sana naunga mkono hoja zako.
 
Mkuu wa mkoa yuko sahihi...daktari halaumiwi kwa kukosekana kwake ajalini bali analaumiwa kwa kukosekana kwake kituo cha kazi ambapo huduma ya dharula ilitakiwa kutolewa kuanzia kwa majeruhi na kuandikiwa kwa rufaa kwa wale ambao ni majeruhi.Hivyo kukisekana kwake kwa wakati ukute imepelekea hata kuongezeka kwa vifo.



What if nae alikuwa na dharura Kama binadamu?

Je amesikilizwa?
 
Are you serious au unatania? Mstari mmoja unaweza kujibu hoja zote zilizoanishwa?

How comes hoja hizo zihusishwe na CHADEMA na sio mwanaharakati au mwananchi yeyote yule ambaye anayeweza kuona kwa jicho la tatu kuwa maamuzi ya kisiasa yanaathiri maisha ya watu kwa sababu ya political popularity?

Kunapotokea ajali Ni waganga wakuu pamoja na wafawawidhi wanaoenda kwenye eneo la tukio au Ni zimamoto na uokoaji? Are u mad au mud?

Wapi ulisikia kwamba the first response team kwenye ajali Ni madaktari?

Umeulizwa hapo juu, mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa alikua wapi wakati tukio linatokea? Mbona yeye hakuwahi kufika kwenye scene? Analaumu watu ambao hawana facilities za kufika eneo la tukio Tena mid night?

Mkiwa mnatetea upuuzi msiwaumizw watu wengine for the sake of ugali na political popularity! Hilo swala sio la CHADEMA na bavicha wa la RMO na DMO Ni swala la serikali kushindwa kuweka Mazingira wezeshi ya huduma ya kwanza na uokoaji pamoja na response!

Nchi za wenzetu Kuna namba za dharura za Kila Idara au kitengo kinachohusiana na maisha ya watu moja kwa moja iwe afya na ulinzi na Mambo mengineyo!

Chukua simu yako hapo Sasa piga fire au polisi uone Kama itapokelewa na Kama ikipokelewa uone Kama Ni on time! Kama una ndugu yako Yuko state muulize ukipiga 911 inakueje!
Umeandika kama "great thinker" wa ukweli.
Kongole na ubarikiwe sana.
 
Pingapinga wapo kazini hao hawana jema wala hawaoni jema lolote linalofanywa na Serikali. Mungu anawaona nyote mnaopingana na RC
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
Ijapokuwa Tanga ni kama ilivyo mikoa mingine mingi isivyo na wakuu wa mikoa isipokuwa mkoa wa Njombe, kinachokera Tanzania ni hawa makada wa CCM kujifanya wako juu ya wataalamu.
 
Daktari wa wilaya anaishi karibu na hospital nyumba haipo hata umbali wa mita 30, ajali inatokea saa nne usiku watu wanaenda kwenye eneo la ajali wanaokoa wajeruhi na kutoa maiti wanapeleka Hadi hospital lakin daktari hayupo hospital anapigiwa sim anasema yeye anazo taarifa tena wao ndo walipata taarifa wa kwanza matokeo yake anaamua kwenda hospital alfajiri huo siyo uzembe?

Watu hawawalaumu kutofika eneo la ajali Ila wanalaumiwa kutokufika kituo cha kaz kutoa msaada katika hali ya dharura hali ya kuwa wanaishi mita 10 tu kutoka hospital ilipo, hizo nyumba kujengwa karibu na vituo vya kaz hazikujengwa bahati mbaya zilijengwa ili huduma ipatikane haraka wakati wa dharura
Katika hili namuunga mkono Mgumba, hii nchi hakuna watu wazembe na wanaochukulia ajira kama kitu cha mchezo kama watumishi wa Umma.

Tungekuwa na utaratibu wa kupima utendaji wa watumishi wa Umma kila baada ya mwaka,ukikuta ni mzembe unafukuza watu wanaotaka kufanya kazi wapewe kazi.
 
Back
Top Bottom