Huyu mstaafu tumrudishe Ikulu 2030. Mnasemaje bhandugu?



Kuna mtu ambaye ni Sexless. Haya mambo ya ushoga hapa tuna kazi kweli!
 
Ngoja siku akifa ndio utajua watanzania wana hisia gani juu yake
Tulishangilia kwa yule dikteta mpk polisi wakaanza kuwakamata watu na sukuma gang wakaandaa walevi na wavuta bangi waigize wamezimia, lkn wakajisahau wakazimia huku wameshikilia mifuko ya plastiki
 
Dark days nenda kule au you tube (justice for Tanzania)
Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-

Huyo anatumika Kama toilet paper na sukuma gang. Kwasabb justice anayoiongelea kwenye hiyo clip eti ni kufichuliwa kwa phone calls, sms na paper zilizotumika kupanga njama za kumuua jiwe.

Sasa zikifichuliwa ndiyo itakuwa nn?

Jiwe alistahili kufa na vema alivyokufa kwasabb alikuwa analipeleka taifa mahala pabaya. Mtu mmoja kufa ili kuokoa taifa hata Mungu anaturahua.

Huyu mhuni (nabii uchwara) katumwa na sukuma gang! Hakuna kitu kitatokea trust me!
 
Upo sahihi kabisa
 
😂kaharibu
 
Naunga mkono hoja
 
We umejuwaje kama mleta uzi msomi!!??
 
Achana na mikatiba isiyo na kichwa wala miguu twende na JK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…