sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Nansio da silva-Brazil ana miaka mingapiSwala siyo uvunjivu wa katiba je ni kweli hakuna mtanzani mwingine Mwenye akili na umri unaomruhusu unang'ang'ania vibabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nansio da silva-Brazil ana miaka mingapiSwala siyo uvunjivu wa katiba je ni kweli hakuna mtanzani mwingine Mwenye akili na umri unaomruhusu unang'ang'ania vibabu?
Rais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Katiba haijasema kuwa Katibu Mkuu kiongozi lazima upitie ubalozi.
Tulishangilia kwa yule dikteta mpk polisi wakaanza kuwakamata watu na sukuma gang wakaandaa walevi na wavuta bangi waigize wamezimia, lkn wakajisahau wakazimia huku wameshikilia mifuko ya plastikiNgoja siku akifa ndio utajua watanzania wana hisia gani juu yake
Dark days nenda kule au you tube (justice for Tanzania)Wengine hatujaiona. Labda utuwekee hapa tuione
Asante mkuu kwa kumpa mfano kuntuNansio da silva-Brazil ana miaka mingapi
Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-Dark days nenda kule au you tube (justice for Tanzania)
Upo sahihi kabisaHebu fafanua vizuri hicho kifungu cha 2. Uelewa wangu, kifungu hicho kinamaanisha kuwa rais akishakaa madarakani kwa vipindi viwili (akishachaguliwa mara mbili) kama ilivyokuwa kwa Kikwete, basi anatakiwa awapishe wengine nao waendelee. After that anaweza tena kurudi na kugombea tena (mfano sasa hivi Kikwete anaweza rudi na kugombea)
In summary,kifungu cha pili kinazuia mtu kukaa madarakani zaidi ya mihula miwili continuously. Ila hakimzuii kurudi tena na kugombea.
Huo ndio uelewa wangu, naomba ufafanuzi wako
😂kaharibuUmejenga hoja kirahisi sana. Eti sasa hivi katiba haifatwi, so hakuna haja ya kuendelea kuifata.
Ukiwa msomi, yafaa ujenge hoja kisomi. Ninachojua katiba inasema after vipindi viwili vya uongozi, rais anatakiwa akae pembeni,kupisha wengine kwanza then anaweza kurudi upya (am not so sure kama nipo sahihi)
Ila kitendo cha wewe kusema katiba isifatwe, inafanya bandiko lako lote liwe invalid
Naunga mkono hojaRais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Hata kama ana 80 bado anafaa.umejiuliza kufika 2030 jk atakuwa kikongwe mwenye umri wa miaka mingapi?
We umejuwaje kama mleta uzi msomi!!??Umejenga hoja kirahisi sana. Eti sasa hivi katiba haifatwi, so hakuna haja ya kuendelea kuifata.
Ukiwa msomi, yafaa ujenge hoja kisomi. Ninachojua katiba inasema after vipindi viwili vya uongozi, rais anatakiwa akae pembeni,kupisha wengine kwanza then anaweza kurudi upya (am not so sure kama nipo sahihi)
Ila kitendo cha wewe kusema katiba isifatwe, inafanya bandiko lako lote liwe invalid
Sasa wewe unaona haya mawazo yanaweza kuletwa na akina Msukuma au Kibajaji?We umejuwaje kama mleta uzi msomi!!??
Achana na mikatiba isiyo na kichwa wala miguu twende na JKHebu fafanua vizuri hicho kifungu cha 2. Uelewa wangu, kifungu hicho kinamaanisha kuwa rais akishakaa madarakani kwa vipindi viwili (akishachaguliwa mara mbili) kama ilivyokuwa kwa Kikwete, basi anatakiwa awapishe wengine nao waendelee. After that anaweza tena kurudi na kugombea tena (mfano sasa hivi Kikwete anaweza rudi na kugombea)
In summary,kifungu cha pili kinazuia mtu kukaa madarakani zaidi ya mihula miwili continuously. Ila hakimzuii kurudi tena na kugombea.
Huo ndio uelewa wangu, naomba ufafanuzi wako
Ndii hapo sasa.Sasa wewe unaona haya mawazo yanaweza kuletwa na akina Msukuma au Kibajaji?
Tusiruhusu watu wa majaribio wanaosukumiziwamo ikulu kama yule Yuda mtoa roho za watu. Bora huyu baba tunamjua.Achana na mikatiba isiyo na kichwa wala miguu twende na JK
Huo uchochezi sasaNani kakuambia kuwa hayuko ikulu saa hii??