eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
- Thread starter
-
- #41
kwenye kugombea kitu lazima uwe tofauti na mwenzakoπ©π©π© raha sana sikuhizi cDm wanakulana tgo wenyew kwa wenyew... Mradi wa wazungu umekubalika kwao... Wanapasuana wenyew kwa wenyew kisa uongozi
Kila ukiona hata chumvi unadhani ni povu?Povu la nini wew kibaraka
Yupi sasa hafai kati ya Lissu na huyo mtu mnene?Hafai.
mtu mzuri unamjua kupitia mdomo. kwa kuwa kile anachokiwaza ndio anakitoa mdomoni. tumpe utendaji sasa kamili ndio kilichobaki kwake.Huyu ana chochote alichofanya zaidi ya ka-mdomo
Yuki Chiba hana umuhimu wowote.
Chumvi hiyo inanguvu ya kukausha povu ulilotoa so itumie vizuriKila ukiona hata chumvi unadhani ni povu?
Kila mtu ni zawadi kwa taifa nawe ukiwemo mwanangu. Acha kuabudia watu mwanangu.
ulivyo na roho ndogoππ usingekuja hapa ningeshangaaYuki Chiba hana umuhimu wowote.
uko sawa, ila tumwangalie huyu aliyetuinulia tayari, sisi tunasubiri wakati wetu ufike.Kila mtu ni zawadi kwa taifa nawe ukiwemo mwanangu. Acha kuabudia watu mwanangu.
jitihada zozote anazozifanya mtu huyu, zina maana kubwa sana, tuziunge mkono jitihada zake na twende nae pamoja.
kiongozi ni mtu wa aina ganiYaan lisu kuwa chadema ndo mwanza wa kifo wa hiki chama, mimi sio mtabiri ila muda utaongea, lisu ni mwanaharaka na wala sio kiongozi
Mkuu ulielewa vizuri suala la makinikia ! Ukimwekewa Lissu aliposema ile Ripoti ilikiwa Proffesario Rubbish ...! Unajua mwisho wake ! Ule ulikuwa ni utapeli wa Magufuli!Nakubali ila alileta usaliti kwenye makinikia
Hawezi jibu Hilo swali ,amewasikia haters Wanasema naye kakariri! Kwenye Siasa za Kiliberari huwezi kutengamisha Siasa na Harakati! Chama cha Upinzani ni lazima.kifanye Harakati !kiongozi ni mtu wa aina gani
na mwanaharakati ni mtu wa aina gani
tupe tofauti hapo
Hivi huko uliko una hali gani mpenda rushwaHuyu ni bingwa wa kuropoka.
Acha ushamba wewe, makinikia zilikuwa ni kiki za kijinga hatukufaidi lolote wala kufidiwaNakubali ila alileta usaliti kwenye makinikia